TAZAMA namna ya kupata leseni za biashara katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma
Mwenyekiri wa Chama Cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa TALGWU Mkoa wa Ruvuma ameipongeza serikali kwa kuruhusu kupandisha vyeo na kubadili kada watumishi wa umma.
MKUU wa TAKUKURU mkoani Ruvuma Yustina Chagaka ametoa rai kwa watanzania kutoa taarifa za vitendo vya rushwa kwenye ofisi za TAKUKURU Wilaya na Mkoa ili kukomesha vitendo hivyo kwa watanzania
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa