• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ALAT YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI MBINGA DC

Tarehe ya kuwekwa: October 6th, 2023

Mwenyekiti ALAT Mkoa wa Ruvuma Mhe. Kelvin Mapunda amewataka Madiwani wote Mkoani Ruvuma kuendelea  kushirikiana  na Wataalamu  wa Halmashauri katika  kusimamia na kutekeleza ujenzi miradi ya Maendeleo.

 Alisema Kila Halmashauri  inatakiwa kusimamia na kukusanya mapato ya  ndani ili Halmashauri iweze kufanikisha katika ukusanyaji wa mapato  na kufikia lengo lililokusudiwa.

Hayo yamejiri wakati wa ziara ya ALAT  Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika kuanzia tarehe 04 hadi 05 Oktoba 2023 katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga  kwa lengo la kutembelea na   kukagua  utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Halmashauri hiyo.

Mhe. Kelvin ametoa Rai  kwa Wataalamu wa Halmashauri   Mkoani Ruvuma  kusimamia zoezi la utaoji wa chakula kwa wanafunzi  shuleni  ambao utawezesha upatikanaji wa lishe bora  na ongezeko la ufaulu kwa wanafunzi.


Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Litumbandyosi kilichojengwa kwa  gharama ya shilingi Mil. 599,013,700 ambacho kipo katika  hatua ya ukamilishaji, pamoja na mradi wa kikundi cha MWO ( Mbalawala Woman Organization) ambacho kinajishughulisha na kiwanda cha utengenezaji nishati mbadala ya makaa yam awe ya kupikia, utunzaji wa mazingira, kilimo, uwezeshaji kijamii, na huduma za chakula na usafi wa mazingira katika migodi ya makaa yam awe ya ngaka.

Kwa upande wake Kaimu katibu Tawala  Mkoa wa Ruvuma Amandus  Chilumba amezitaka Halmashauri zote Mkoani Ruvuma kuendelea kuwa wabunifu wa vyanzo vya mapato katika Halmashauri ili ziweze kufikia lengo la ukusanyaji wa mapato ya Serikali. “Alisisiiza”

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

ALAT- RUVUMA,



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa