• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ASILIMIA 76% YA WATOTO WETU WAPO NJE YA MFUMO WA USAJILI -RITA.

Tarehe ya kuwekwa: March 4th, 2020

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme akiwa katika ufunguzi wa Semina ya RITA Kwa  Viongozi wa Wilaya na Mkoa wa RUVUMA  inayoendelea kufanyika  katika Ukumbi wa Manispaa ya Songea kuanzia hapo jana 03/03- 04/03/2020.

RITA ni Taasisi ya Serikali chini ya Wizara ya Katiba na Sheria yenye Majukumu , pamoja na kusimamia na kuratibu Usajili wa Vizazi na Vifo Tanzania Bara. Lengo kuu la RITA ni kuhakikisha kila mtoto wa umri chini ya  miaka mitano anasajiliwa na kupata cheti cha kuzaliwa na kumpa mtoto haki yake ya msingi ya kutambuliwa. 

Mndeme  alisema, Historia ya Usajiili imeanza miaka mingi hata kabla ya Uhuru na Usajili ni hatua inayomwezesha mwananchi kuweza kutambuliwa na kusajiliwa taarifa zake kuingizwa kwenye Mfumo Rasmi wa Serikali ambao ni Daftari za kusajili Mfumo.

 Alisema  “Maisha ya Binadamu yanaanza pale tu anapozaliwa kwa hiyo lazima tufahamu Mkakati wa Serikali kusajili  Watoto Chini ya Miaka Mitano ambapo  Kundi hilo ni la Kimkakati  na nikipaumbele.Hivyo Takwimu za Vizazi ni Kichocheo cha Maendeleo Nchini kwani Serikali hupanga matumizi ya Maendeleo ya Muda mfupi na Muda mrefu na Mipango hiyo ya Serikali huanzia Halmashauri, na bila Takwimu huwezi kupata mahitaji muhimu naya Msingi hususani; Takwimu za Madawati  kwa shule za Msingi, pia alisema  huduma hiyo itatolewa bure bila malipo”. Alisisitiza.

Alibainisha  changamoto mbalimbali zilizopelekea kukwamisha ufanisi wa zoezi hilo ni pamoja na Umbali, Wazazi/ Walezi Kushindwa kulipia gharama, pamoja na uelewa mdogo wa Usajili wa Watoto. Alisema  Ili kutatua changamoto hiyo, Huduma hiyo sasa itatolewa kwenye ofisi za Kata/ Vijiji/ Mtaa bila malipo yoyote nani zoezi endelevu sio kampeni. Mradi huu umeanza kutekelezwa katika mikoa Mbeya, Songwe, Iringa, Geita,  Shinyanga, Lindi, Mtwara, Mara, Simiyu, Dodoma, Singida ,Morogoro, na Pwani na sasa tunajiandaa na utekelezaji katika Mkoa wa Ruvuma.

Hakusita kuwaondoa hofu wananchi wa Mkoa Wa Ruvuma juu ya Ugonjwa hatari wa Korona ambao ni tishio Duniani kote. Alisema “ hadi sasa Mkoa wa Ruvuma hakuna mgonjwa Yeyote aliyeripotiwa kuuguwa au kugundulika kuwa na virus vya ugonjwa hatari wa korona ambapo, amewaasa  wananchi wote Mkoani Ruvuma  kuchukua Tahadhari mapema  kwa kuacha tabia/desturi ya kusalimiana kwa kupeana mikono,kukumbatiana, kuacha  kunawa maji katika chombo kimoja,kuacha kukohoa/ kupiga chafya bila  kukinga kitambaa au mikono   ili kuzuwia maambukizi yasiweze kutokea, pia Serikali imejiandaa kwa kutenga kituo/chumba  maalmu  kama hospital au kituo cha afya  kwa ajili ya kupokea wagonjwa mara tu itakapotokea.”

                                                          IMEANDALIWA NA;

                                                               AMINA PILLY

                                     KAIMU AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa