• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

ASKOFU Ndimbo awatahadharisha waumini kuepukana na nguvu za giza

Tarehe ya kuwekwa: October 19th, 2018

Askofu wa Jimbo la Mbinga Mhashamu John Ndimbo amewataka Waumini kumtegemea Mungu ili waweze kuwa na maendeleo ya kimwili na kiroho na kuepukana na kutegemea nguvu za giza ambazo huleta woga na umaskini.

Ameyasema hayo  wakati akihubiri Misa takatifu katika kanisa la Mtakatifu Bikira Maria msaada wa wakristo Parokia ya Makwaya Jimbo Katoliki la Mbinga katika sherehe za  parokia hiyo kutimiza miaka 50 tangu kuanzishwa kwake.

Askofu ndimbo amesisitiza kuwa ili jamii iweze kuwa na maendeleo inatakiwa kumtegemea mungu kwa kuwa katika kumtegemea kinakupa maarifa yatakayokuwezesha kupambana na umaskini na kuwa na maendeleo ya kimwili na kiroho.

“ Epukeni kabisa  kutegemea nguvu za giza ambazo zitakufanya uwe masikini na woga wakati wote na kamwe jamii inayotegemea nguvu za giza haiwezi kuwa na maendeleo’’,anasisitiza Askofu Ndimbo.

Hata hivyo Mhashamu Ndimbo ameipongeza jamii ya watu wa parokia ya Makwaya kuwa wanamaendeleo na wamefikia mahali ambapo wamepiga hatua nyingi za kichumi ambazo ni wana Mtandao wa maji uliotengenezwa na kanisa,Wana Zahanati inayohudumia wakazi wake na wanakanisa zuri lililojengwa kwa ushirikiano wao.

“ Jamii inyotegemea nguvu za giza kamwe haiwezi kuwa na maendeleo kwa kuwa muda wote inakuwa na uoga ambao unasababisha kutokuwa na maendeleo na kubaki kuwa maskini muda wote’’,amesema.

Katika hatua nyingine Askofu Ndimbo alimpongeza mgeni rasmi katika maadhimisho hayo Mbunge wa Jimbo la Nyasa Ambaye pia na Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyanya kwa  kuwahamasisha wananchi kufanya kazi kwa juhudi na maarifa ili waweze kuondokana na umaskini.

Kanisa katoliki la Mtakatifu Bikira Maria msaada kwa wakristo lilianzishwa mwaka 1968 na kufikia kilele cha miaka 50 mwaka huu 2018 .

Imeandaliwa na Netho Credo

Afisa Habari Wilaya ya Nyasa

Oktoba 19,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Dkt. Samia Awasili Ruvuma.

    July 30, 2025
  • Mhe. Jenista Waziri wa Afya; Serikali yapambana kupunguza Maambukizi Mapya ya Virus vya Homa ya INI.

    July 29, 2025
  • Songea MC Yadhamiria Kuboresha Lishe na Kuondoa Udumavu

    July 25, 2025
  • Songea MC - Yaibuka na Ushindi katika Mechi ya Kirafiki Dhidi ya Namtumbo.

    July 24, 2025
  • Tazama zote

Video

Dkt. Samia Akiwasili Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa