• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA la madiwani Manispaa ya Songea latoa maamuzi kwa watumishi waliosimamishwa kazi

Tarehe ya kuwekwa: May 11th, 2019

BARAZA  la Madiwani la Manispaa  ya Songea limetoa maamuzi kwa watumishi wanne wa Halmashauri ambao walikuwa wamesimamishwa kazi.Akitangaza maamuzi hayo kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea Mwenyekiti na Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji amemtaja mtumishi mmoja kati ya wanne uchunguzi umebaini kuwa hana makosa hivyo yuko huru kuendelea na kazi ambapo amemtaja mtumishi huyo kuwa ni Mkaguzi wa Ndani Joel Mantakara.

Mshaweji awataja watumishi watatu wamekutwa na  hatia akiwemo Afisa Mapato Juliana Rocky amekutwa na makosa nane hivyo Baraza  limeamua afukuzwe kazi na kwamba Mweka hazina  Denis Mwaitete na Afisa Mapato Salum Mwandu,Baraza limeamua wapunguziwe mshahara katika kipindi cha mwaka mmoja.Mshaweji  amesisitiza  watumishi kufanyakazi kwa uaminifu mkubwa kwa masilahi ya umma na wananchi wa Manispaa ya Songea.

"Baraza linatoa onyo kwa watendaji kufanyakazi kwa uaminifu,hatutasita kutoa adhabu kali zaidi kwa mtumishi yeyote ambaye atabainika kutafutana fedha za umma''.alisisitiza Mstahiki Meya wa  Manispaa ya Songea na kuongeza kuwa Baraza la madiwani limejipanga kuhakikisha kuwa mapato ya manispaa yanaongezeka hadi kufikia asilimia 100 na kwamba upotefu wa fedha kiasi cha shilingi milioni 118 umesababisha hasara ya asilimia 4.4 ya mapato katika Manispaa hiyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa