• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji latembelea wajasiriamali wadogo Songea

Tarehe ya kuwekwa: August 13th, 2019

BARAZA la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi(NEEC) kwa kushirikiana na ofisi ya Waziri Mkuu chini wakufunzi wake wametembelea wajasiriamali mbalimbali ambao wamajiajiri katika Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma.

Wajasiriamali ambao wametembelewa ni wale ambao wamepata mafunzo yanayotolewa na Baraza la taifa la uwezeshaji na wakatoa ushuhuda wa jitihada zao ambazo wamezifanya na kupiga hatua katika miradi yao ambayo imewasaidia kujikwamua kiuchumi.

Kwa upande wake, Mwanakikundi wa Kona To Kona Nasma Abubakary akizungumza ofisini kwake ameelezea jinsi walivyoshirikiana katika kuanzisha kikundi chao ambacho kinajishughulisha na kutengeneza bidhaa za ngozi kama vile mikanda ya ngozi, viatu vya ngozi (sendo), eleni, bangili, Mapazia ya mianzi na mikufu. Ambapo kupitia mradi huo umetemgeneza ajira kwa vijana wanne ambao wote wanafaidika.

Abubakary amesema kuwa pamoja na mafanikio yote ambayo wamefanikiwa kuyapata tangu wameanza mradi pia ameeleza kuwa kuna changamoto ambazo zinawakwamisha kama vile mashine na mitaji na ameweka wazi kuwa kutokana na mafunzo ambayo wameyapata  yatawasaidia katika kuzikabili changamoto mbalimbali ambazo zilikuwa zinawakwamisha katika kufikia malengo yao.

“Elimu tuliyoipata inatosha na itatufikisha pale tulipolenga.”

Naye, Mjasiriamali Selemani Faraji Twaibu ambaye ni mwanakikundi wa Matogoro Stick Industry ameeleza umuhimu wa vijana kujiajiri na ametoa shukrani kwa Baraza la Taifa la Uwezeshaji kwa kuwapa mafunzo ambayo yatawawesha kupiga hatua zaidi katika biashara zao.

Pia Twaibu ameeleza kuwa ili waweze kufanikiwa zaidi ameiomba serikali kuendelea kuwaunga mkono kwa kuboresha mikopo ambayo itawasaidia kupata mitaji ambayo watahitumia katika kukuza na  kuboresha huduma zao.

Baraza la Taifa la Uwekezeshaji lipo katika Mkoa wa Ruvuma kutoa elimu ya ujasirimali na biashara kwa vijana wenye umri kati ya miaka 18 hadi 35 ambapo zaidi ya vijana 150 wamenufaika na elimu hiyo..

Imeandaliwa na 

Bacilius Kumburu

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Agosti 14, 2019.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa