• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MABARAZA YA KATA FANYENI SULUHISHO SI KUTOA HUKUMU.

Tarehe ya kuwekwa: August 30th, 2024

Kwa mujibu wa sheria kifungu cha 13 cha sheria ya Marekebisho ya mwaka 2021  Namba 3 Baraza la kata lina haki ya kufanya Suluhisho na si kutoa Hukumu.

Baraza la ardhi ya Kata hayana Mamlaka ya kufanya Suluhisho bali ameyataka Mabaraza hayo kuendelea kufanya usuluhisho wa wa kimahakama  ili kuondoa  migogoro mbalimbali.

Hayo yametamkwa kwenye Baraza la Madiwani la Mwaka la Hesabu za Serikali 2023/2024  lililofanyika leo tarehe 30 Agosti 2024 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea ambalo lilihudhuriwa na Viongozi mbalimbali ngazi ya Wilaya, Vyama vya Siasa, Wataalamu, pamoja na Wananchi kwa lengo la kutoa taarifa ya kufunga hesabu za Serikali za mwaka.

Akizungumza Mstahiki Meya Manispaa ya Songea Mheshimiwa Michael Mbano amezitaka Idara na Vitengo vyote vyenye  hoja za ukaguzi zisizo jibiwa wahakikishe wanajibu hoja zote kabla au ifikapo tarehe 30 Septemba 2024.

Mhe. Mbano amewataka wataalamu hao kuendelea kutoa ushirikiano kwa Wakaguzi wa hao  ili waweze kumaliza kujibu hoja zao  kwa kutoa majibu  sahihi na kukamilisha kwa wakati.

Kwa Upande wake kaimu  Mweka hazina Manispaa ya Songea  Mustafa Matili  alisema Hesabu za Halmashauri zilifungwa  kulingana na agizo namba 31  kifungu kidogo cha 1 hadi cha 6  cha muongozo wa  fedha za Serikali za Mitaa za Mwaka wa fedha 2009 kwa kuzingatia sheria za fedha za Serikali za Mitaa kwa kufuata kanunni ya ufungaji wa hesabu za Serikali za Mitaa  kimataifa namba 1 hadi 34. “Alibainisha”

Naye Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtella Mwampamba amesema Nanukuu” Mabaraza ya Ardhi /Ndoa  hayatakiwi kutoa hukumu au taraka bali yanatakiwa kufanya suluhisho kwasababu suala la ndoa hukumu yake inagusa haki ya mtu hivyo ameyataka mabaraza ya kimila, na mabaraza ya ndoa kutoa Suluhisho. Mwisho wa Kunukuu. 

Akitoa salaamu za chama cha Mapinduzi Mkutanoni hapo, Katibu wa CCM Songea Mjini Komredi James Mgego amesema, kuanzia tarehe 02  hadi 04 Septemba 2024 kutakuwa na ziara ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma ambapo atatembelea miradi katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea kisha atahitimisha kwa  kuzungumza na viongozi wa dini, na Wazee.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.  




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa