• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BIL 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: March 11th, 2023

Katika kutatua changamoto za Maji Mjini Songea, Serikali imesaini Mkataba kati ya Kampuni ya China Civil engeneering Construction Coorporation  wa Shilingi Bilion 145.77 ambao umesainiwa tarehe 10 Machi 2023 ambao utatekelezwa kwa muda wa miezi 32.

Tukio hilo limefanyika chini ya usimamizi wa Naibu Waziri wa Maji Marypriska Mahundi ambaye alimwakilisha Waziri wa Maji lililofanyika Manispaa ya Songea  kwa lengo la kusaini Mkataba wa kazi ya usambazaji wa maji ambao ni  miongoi mwa miji 28 itakayonufaika na miradi huo.

Mhe. Marypriska amesema  katika kuhakikisha jamii inapata maji safi na salama hawanabudi  kutunza Mazingira  katika vyanzo vya maji

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma  Kanal. Laban Thomas   amesema  mradi huo utawezesha kuongeza uwezo wa kuzalisha maji kutoka lita  Mil. 11.58  kwa siku hadi Mil 42.58 kwa siku  ambao utaondoa kero ya maji kwa wakazi wa Songea.

Kwa  upande wake Mkurugenzi wa SOUWASA Eng Patrick Kibassa  amesema Mamlaka ya Maji SOUWASA ina jumla ya vyanzao 13 vyenye uwezo wa kuzalisha maji Lita Mil. 11.58 kwa siku sawa  na asilimia 57% dhidi ya mahitaji Mil 20.34 kwa siku.

Eng. Kibassa ameongeza kuwa huduma ya maji safi inapatika kwa saa 22 kwa siku ambapo Mamlaka inakabiliwa na changamoto ya kuzalisha maji  lita mil.11.58 kwa siku dhidi ya mahitaji lita mil. 20.33 kwa siku a ambapo mahitaji makubwa ni ya Nishati ya Umeme ambayo Mamlaka inatumia Nishati Mil. 32 kwa mwezi ili kusukuma maji kwenda  kwa wateja.

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio January 31, 2020
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2020 January 25, 2020
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea January 31, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN " SONGEA MC "

    March 17, 2023
  • BIL 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA.

    March 11, 2023
  • YALIYOJIRI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI RUVUMA

    March 09, 2023
  • DC Songea ameitaka Jamii kupinga Ukatili wa Kijinsia

    March 02, 2023
  • Tazama zote

Video

BIL. 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa