• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

BILIONI 129 KUJENGA LAMI MBINGA-NYASA

Tarehe ya kuwekwa: December 12th, 2017

UJENZI wa barabara ya lami  katika kiwango cha lami nzito,unaanza mara moja ambapo serikali imesaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya lami yenye urefu wa kilometa 67 toka Mbinga hadi Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma ambayo itagharimu shilingi bilioni 129.

Mkataba huo wa miezi 24 umesainiwa Desemba 11,2017 na Kampuni ya Mkandarasi inayoitwa China Henan International Corparation Group Ltd(CHICO) ambayo inatarajia kukamilisha kazi ya ujenzi wa barabara hiyo kabla ya uchaguzi mkuu wa 2020.

Tukio la kusaini Mkataba wa ujenzi wa barabara ya Mbinga hadi Mbambabay pamoja na mikataba mingine mitatu ya ujenzi limeshuhudiwa na Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa,Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika(AfDB) Marie,Hellen Minja,Wakala wa Barabara Tanzania(TANROADS) na Mbunge wa Nyasa na Naibu Waziri wa Viwanda,Biashara na Uwekezaji Mhandisi Stella Manyanya.

Akizungumza katika Hafla hiyo Mhandisi Manyanya amesema kukamilika kwa barabara hiyo kunafungua milango ya utalii katika mwambao mwa ziwa Nyasa ambako kuna karibu aina zote za vivutio vya utalii na uwekezaji na kwamba barabara hiyo itakuwa kiungo muhimu cha nchi za Tanzania,Malawi na Msumbiji ambazo zitatumia bandari ya Mbambabay.

Kukamilika kwa kipande cha barabara toka Mbinga hadi Nyasa kunakamilisha ujenzi wa barabara ya kiwango cha lami katika ukanda wa Mtwara Corridor toka Mtwara hadi Mbambabay wilayani Nyasa mkoani Ruvuma hivyo kufungua milango ya uwekezaji katika ukanda wa kusini.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Ruvuma.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa