• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CCM RUVUMA yaridhishwa na utekelezaji wa miradi ya maendeleo Nyasa

Tarehe ya kuwekwa: August 19th, 2019

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho,  akiwa ameambatana na Kamati ya Siasa ya Mkoani hapa, ameridhishwa na Utekelezaji wa miradi ya  Maendeleo na ushirikishwaji wa jamii katika miradi iliyotekelezwa kwa mwaka wa fedha 2018/2019 katika Wilaya ya Nyasa.

Ameyasema hayo jana wakati akihitimisha Ziara ya kikazi siku mbili agosti 14-15, ya kutembelea na kukagua, miradi ya maendeleo katika Tarafa ya mpepo na Luhekei, Wilayani Nyasa Mkoani Ruvuma.

Bwana Mwisho alifafanua kuwa kwa Miradi nane(8)ambayo amekagua amefurahi kuona imetekelezwa vizuri na kwa kiwango cha hali ya juu, na Jamii imeshirikishwa  na wanatambua miradi yote inayotekelezwa katika maeneo yao, na wanachangia nguvu zao licha yaSerikali kutoa Fedha ili kuunga Mkono juhudi za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt John Pombe Magufuli.

Aliitaja miradi aliyokagua kuwa nia Ujenzi wa Hosteri  mbili shule ya Sekondari Kingerikiti,Ukamilishaji wa vyumba 3 vya madarasa shule ya msingi Kibaoni,iliyopo Kata ya Tingi ambayo iko hatua ya Ring bim, Ujenzi wa Vyumba nane vya madarasa,matundu sita ya vyoo,meza 240 na viti 240 na ujenzi wa bw Sekondari Mhandisi Stella Manyanya katika Kata ya Mpepo Wilayani hapa.

Aliongeza miradi minginwe aliyokagua nia Shamba la Miti ya Misindano (Pines Patula) iliyopandwa na Wakala wa huduma za Misitu Tanzania shamba ambalo lina ukubwa wa Hekta 20,905 zinazofaa kwa ajili ya upandaji miti na hekta 680 kati ya hizo zimetumika kwa kupandwa miti 555,500/= na upanuzi wa shamba ukiwa unaendelea,mradia ambao ulimfurahisha sana na kutoa wito kwa wananchi wote wa Mkoa wa Ruvuma wapande miti ili kutunza mazingira na kuongeza kipato kwa wananchi kwa miaka ijayo.

Pia alikagua ujenzi wa hosteri na bwalo la Chakula shule ya Sekondari Nyasa katika Kata ya Chimate na Ujenzi wa Hospitali ya Wilaya ya Nyasa ambayo imefikia Asilimia tisini na tano(95) ya ukamilishaji, wa majengo saba yanayojengwa katia Kijiji Cha Nangombo Kata ya Kilosa  Wilayania hapa na alitoa Pongezi Kwa ushirikiano mzuri uliopo kati ya Wananchi,wataalam na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi Isabela Chilumba,

“Napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa Uongozi wa Wilaya ya Nyasa ukiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Bi Isabela Chilumba na Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Nyasa Bw.Jimson Mhagama kwa  ushirikiano mliouonyesha katika Ujenzi wa Hospitali hii ya Wilaya ambayo imejengwa kwa Ustadi mkubwa na ushirikiano wa hhli ya juu kati ya Wananchi wataalam na Serikali.Naomba ushirikiano huu uendelee.

Miradi mingine aliyoikagua ni ujenzi wa Ofisi ya Mdhibiti wa Elimu Wilaya ya Nyasa na Ujenzi wa   jengo la Tanesco lilopo katika kijiji cha kilosa na Kata ya KIlosa wilaya ni hapa.

Aidha alitoa wito kwa Viongozi wote wa Chama cha Mapinduzi(CCM)  kuanzia ngazi ya Shina, Tawi, Kata Wilaya na Mkoa  kuhakikisha wanawahamasisha wananchi kushiriki shughuli mbalimbali za miradi ya  maendeleo zinazotekelezwa katika Maeneo yao.

Imeandaliwa Na Netho c.Sichali ofisa habari,wilaya ya Nyasa,0767417597

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa