• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Changamoto ya Chakula Shuleni Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: October 24th, 2024

Manispaa ya Songea inakabiliwa na changamoto ya wazazi ya  kutochangia chakula shuleni, jambo ambalo linaathiri uhudhurio wa wanafunzi katika masomo yao ambapo Hali hii ilielezwa na Afisa Elimu wa Manispaa, Bi. Janeth Moyo, katika kikao cha Lishe kilichofanyika leo, tarehe 24 Oktoba 2024, katika ukumbi wa Manispaa.

Bi. Moyo alisema kuwa wazazi na walezi wengi bado hawachangii chakula shuleni, hali inayosababisha wanafunzi wengi kutohudhuria masomo ipasavyo. Ili kukabiliana na hali hii, Manispaa ya Songea imejipanga kuendelea kutoa elimu kwa wazazi na kutunga sheria ndogo zitakazosaidia kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa wanafunzi wakati wa masomo. Aidha, shule mbili ambazo bado hazijaanzisha klabu za lishe zitaanzishwa.

Afisa Lishe wa Manispaa, Frolentine Kisaka, alisisitiza umuhimu wa lishe bora katika kupambana na udumavu na utapiamlo. Alitoa ripoti ya hali ya lishe kwa akina mama wajawazito na watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano, ambapo kati ya watoto 40,283 waliochunguzwa, asilimia 99.69 waligundulika kuwa hawana utapiamlo. Hata hivyo, watoto 19 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali na walipatiwa rufaa kwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Songea.

Kikao hiki ni sehemu ya tathmini ya hali ya lishe katika Manispaa ya Songea kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka 2024 ambapo  Manispaa ya Songea inaendelea na juhudi za kuboresha lishe kwa kuhakikisha wazazi wanashiriki kikamilifu katika michango ya chakula shuleni, ili kusaidia wanafunzi kupata chakula bora na kuhudhuria masomo yao kwa ufanisi.

Na, 

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano  Serikalini.









Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa