• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

CHANJO ya saratani ya mlango wa kizazi itapunguza vifo vya wanawake

Tarehe ya kuwekwa: April 23rd, 2018

MKUU wa wilaya ya Songea ametoa rai kwa viongozi wa dini,wazazi,walezi na jamii kwa ujumla kuacha upotoshaji kuhusu chanjo ya kuzuia saratani ya mlango wa kizazi ambayo imeanza kutolewa leo Aprili 23 nchini kote ambapo kwa kuanzia watoto wa kike wenye umri wa miaka 14 wanaanza kupewa chanjo hiyo.
 Manispaa ya Songea  inatarajia  kutoa chanjo ya mlango wa kizazi kwa wasichana 1834 ambapo lengo la Mkoa wa Ruvuma ni kutoa chanjo hiyo kwa wasichana 28,676.

 Mganga Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Dk.Gosbert Mutayabara anautaja ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi na matiti  kuwa ni miongoni mwa magonjwa kumi katika mkoa wa Ruvuma yanayoongoza kwa kusababisha vifo.
 Takwimu za saratani za mlango wa kizazi na matiti katika mkoa wa Ruvuma zinaonesha kuwa  mwaka 2014 kulikuwa na wagonjwa zaidi ya 12,000,mwaka 2015 wagonjwa zaidi ya 17,000 na mwaka 2016 wagonjwa wa  saratani walikuwa zaidi ya 18,000.
 Takwimu zinaonesha kuwa kila mwaka wagonjwa 6000 wa saratani za mlango wa kizazi na matiti wanagundulika kati yao wagonjwa 4000 wanapoteza maishaKulingana na takwimu za Ocean Road,saratani za mlango wa kizazi na matiti husababisha asilimia 50 ya vifo vyote vinavyotokana na saratani kwa akinamama.Utafiti unaonesha kuwa akinamama karibu 500,000 hupatwa na ugonjwa wa saratani ya uzazi na matiti kila mwaka duniani, kati ya hao akinamama 250,000 hufariki kila mwaka kutokana na ugonjwa huo.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa