• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DAFTARI LA WAPIGA KURA KUANZA JULAI MOSI 2024

Tarehe ya kuwekwa: June 16th, 2024

Kifungu cha 10 (1) (C ) cha sheria ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi Na. 2 ya mwaka 2024 ambacho kinaelekeza  kwamba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi itasimamia Uchaguzi wa Serikakali za Mitaa kwa kutumia Sheria itakayowekwa.

Hayo yamejiri wakati wa kufungua  mkutano  wa Tume na maafisa  Habari wa Mikoa na Halmashauri zote Nchini uliofanyika  katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Saalam jana tarehe 15 Juni 2024 kwa lengo la kutoa taarifa za uwepo wa zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Wapiga Kura pamoja na kuelekeza namna ya utumiaji wa vifaa na mfumo wa uandikishaji utakavyotumika kwenye vituo vya uandikishaji daftari la wapiga kura.

Akifungua Mkutano huo Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi NEC, Ndugu Ramadhani Kailima amesema” Maafisa Habari wa Mikoa na Halmashauri wanatakiwa kutoa elimu kwa wananchi juu ya umuhimu wa kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga Kura.”

Amewataka Maafisa Habari hao kutumia njia mbalimbali katika kuelimisha jamii kuhusu kujiandikisha kwenye daftari la Wapiga ambalo  kwa awamu ya kwanza zoezi hilo linatarajia kuanza tarehe 01 Julai 2024.

Akizungumza Mkurugenzi  wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpiga Kura, Bi Giveness Aswile amebainisha kuwa kwa kuzingatia sensa  ya watu na makazi ya mwaka 2022 Daftari linatatrajiwa  kuwa na wapiga kura 34,746,638 kutoka 29,754,699 ya mwaka 2020 ambalo ni ongezeko la wapiga kura wapya 5,586,433 sawa na 18.7%.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa