• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DAGAA Nyasa sasa kuuzwa kimataifa

Tarehe ya kuwekwa: June 20th, 2018

HALMASHAURI ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma inatarajia kuanza kutekelela mradi wa kuchakata,kuongeza ubora wa dagaa wanaopatikana ziwa Nyasa na kuwauza ndani na nje ya nchi.

Mradi huo unatarajia kuongeza thamani dagaa hao ambao wanaongoza kwa utamu na ubora lengo likiwa ni kuongeza mapato katika halmashauri,mkoa na Taifa kwa ujumla wake.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Dkt. Oscar Mbyuzi amesema Halmashauri yake  inakusudia kuanza kutekeleza mradi wa kuchakata na kuongeza ubora wa dagaa na kufikia soko lililoko nje ya Nchi.

 “Halmashauri yetu inatarajia kuongeza ubora wa dagaa kwa kuwakaanga na kuongeza ubora kwa kutumia teknolojia ambayo VETA na SIDO watafundisha na kuweka katika vifungashio vya robo,nusu na kilo moja’’,anasema Dkt.Mbyuzi.

Kulingana na Mkurugenzi huyo,Halmashauri itanunua msimbomilia  na kuthibitishwa na Mamlaka ya Uthibiti wa viwango na ubora Tanzania (TBS) ambapo kila robo kilo ya dagaa Nyasa baada ya kuwachakata inatarajiwa kuuzwa kwa kiasi cha shilingi 2500/=

Hata hivyo Mbyuzi amesema mradi huo ambao utafanyika ndani ya Wilaya ya Nyasa unatarajia kugharimu kiasi cha shilingi billioni moja, ambazo zimeombwa toka  Wizara ya Fedha na Mipango kwa mwaka wa fedha 2018-2019.

Kuanzishwa kwa mradi huo kutaongeza thamani ya dagaa Nyasa hali ambayo itaongeza mapato kwa wananchi na kwamba  Halmashauri ya Nyasa itaongeza mapato yake  kwa asilimia saba ya mapato yote ya ndani.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Serikalini.

Juni 20,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Meya Mbano; Amewataka Wananchi Kulinda Haki za Watoto

    June 16, 2025
  • Meya wa Songea Atoa Wito kwa Familia Kuchangia Damu Kuokoa Maisha.

    June 14, 2025
  • Manispaa ya Songea Yapata Hati Safi kwa Miaka 5 Mfululizo.

    June 13, 2025
  • Wasira Amewataka Wananchi Kulinda Amani ya Taifa.

    June 13, 2025
  • Tazama zote

Video

SONGEA MC YAPATA HATI SAFI KWA MIAKA 5 MFULULIZO
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa