• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC Mgema azindua Bodi ya Huduma za Afya Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: June 20th, 2018

MKUU wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma,Pololet Mgema amezindua rasmi Bodi ya Huduma  za  Afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Uzinduzi huo umefanyika leo kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea ukiwashirikisha viongozi wa Bodi hiyo,wajumbe na watalaam wakiongozwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambaye aliwakilishwa na Kaimu Mkurugenzi Mhandisi Samwel Sanya.

Akizungumza kabla ya uzinduzi wa Bodi hiyo,Mkuu wa Wilaya ya Songea, Pololet Mgema ameiagiza Bodi hiyo kusimamia dawa za serikali kuhakikisha dawa hizo zinalindwa kwa kuwa ni rasilimali za umma hivyo zinatakiwa kutumika kwa ajili ya wananchi wote.

 Bodi ya Huduma za Afya katika Manispaa ya Songea  iliteuliwa tangu Novemba 2017 na imekuwa inafanyakazi bila uzinduzi rasmi.

“Mara tu baada ya Bodi kuundwa,ilitakuwa kuzinduliwa na kupewa majukumu rasmi ambayo inatakiwa kutekeleza ya kusimamia huduma za Afya kwa wananchi wetu,leo hii tuna miezi saba tangu Bodi hii iundwe,naamini katika kipindi hiki Bodi ilikuwa inafanya kazi na kufanya vikao’’,anasisitiza Mgema.

Ameshauri wakati mwingine uundaji wa Bodi na uzinduzi wake ufanyike pamoja ili utekelezaji ufanyike kwa ufanisi mkubwa badala ya kufanyika tofauti.

Mwenyekiti wa Bodi hiyo Franco Haule amemthibitishia Mkuu wa wilaya ya Songea kuwa,Bodi itatekeleza maagizo yote kwa vitendo ili kuhakikisha huduma za Afya katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea kuanzia ngazi ya zahanati na vituo vya Afya zinatolewa kwa wananchi wote kwa wakati bila upendeleo wowote kwa mujibu wa miongozo na sheria za afya.

Bodi ya Huduma za Afya katika Halmashauri ilianzishwa chini ya kifungu cha nne cha Hati rasmi.Bodi hiyo ambayo inadumu kwa miaka mitatu,inaundwa na Mwenyekiti,Makamu Mwenyekiti,wawakilishi wanne wa watumiaji wa huduma za afya,Mwenyekiti wa Kamati ya Huduma ya Elimu,Afya na Maji na wataalam wanne toka Halmashauri.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 20,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa