• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC SONGEA AHIMIZA MICHEZO KWA WATUMISHI WA UMMA.

Tarehe ya kuwekwa: October 14th, 2021

Na 

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

14.10.2021

Mkuu wa Wilaya ya  Songea Pololet Kamando Mgema amewataka watumishi na wananchi kujijengea tabia ya kufanya mazoezi  mara kwa mara  ili kujenga afya bora  ya mwili.

 Hayo yamebainishwa  leo tarehe 14 oktoba 2021 katika uwanja vya michezo Zimanimoto katika kuadhimisha Siku ya kumbukumbu ya Baba wa Taifa Hayati Mwl Julius Kambarage Nyerere ambaye hadi sasa ametimiza miaka 22 toka afariki dunia.

Maadhimisho hayo Kitaifa yamefanyika Wilaya  ya Chato Mkoani  Geita ambapo katika kuunga mkono maadhimisho hayo, Wilaya ya Songea yameadhimishwa kwa kushiriki kufanya mazoezi ya viungo vya mwili iliyofanyika katika uwanja wa Zimanimoto Manispaa ya Songea ambapo pia ameagiza kuendelea kufanyika kwa mazoezi hayo kila baada ya wiki ya pili ya mwanzo wa mwezi husika.

Pololet alisema “ tunatambua mchango mkubwa uliotolewa na Baba wa Taifa katika kukomboa Nchi ya Tanzania” hivyo tunapaswa kukumbuka kifo chake  pia kuhakikisha tunatii  yale yote aliyofanya ikiwemo na kufanya uzalendo pamoja na kujifunza kujitegemea. ­Alisisitiza.

Aliongeza kuwa “nanukuu “Kazi ni kipimo cha utu hivyo  Mwl Nyerere alihimiza kujitegemea kwa kufanya  kazi kwa bidii na kuwa sehemu ya  mchango wa kujenga Taifa letu” . mwisho wa kunukuu.

Alisema kuwa Mwl Nyerere ni mwanamapinduzi wa Bara la Afrika ambaye alipenda kutenda haki, alipinga dhuluma, na lisisitiza kila mmoja apiganie haki yake  ili kila mmoja  aweze kujikomboa.

Nchi yetu ilipopata uhuru Mwl Nyerere alitamka kuwa “ Uhuru wetu hautakuwa na maana kama majirani zetu wanaotuzunguka hawatakuwa na Uhuru”, Hivyo hatuna budi nasi kuwapenda majirani zetu ili kujenga uhusiano bora katika jamii.

Pololet amewataka wananchi wilayani  Songea kuendelea kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa UVIKO 19 sambamba na kuvaa barakoa, kutumia vitakasa mikono, pamoja na kuchoma chanjo ya UVIKO 19 ambayo inapatikana bure katika vituo vyote vya afya.

Mwisho

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA July 08, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 July 04, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mkurugenzi Manispaa ya Songea Wakili. Muhoja, Akabidhi Eneo la Mradi wa Ujenzi wa masoko na Kiwanda Lilambo.

    July 15, 2025
  • Bil. 22.9 Kujenga Masoko ya Kisasa Manzese A na B, na Kiwanda cha Kuchakata Mazao ya Nafaka Lilambo

    July 06, 2025
  • MBUNGE SONGEA MJINI AKABIDHI KOMPYUTA NA KUFADHILI UKARABATI WA OFISI ZA POLISI

    June 27, 2025
  • DC Songea bAzindua Dawati la Huduma za Ustawi wa Jamii Stendi ya Mabasi Songea

    June 24, 2025
  • Tazama zote

Video

UJENZI WA MASOKO MANZESE A & B, NA KIWANDA KUANZA KUJENGWA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa