• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU wa Wilaya ya Songea akabidhi bati 70 shule ya msingi Mitendewawa

Tarehe ya kuwekwa: July 13th, 2018

MKUU wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Pololet Mgema amekabidhi mabati 70 yenye thamani ya shilingi milioni 1.82 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili ya shule ya msingi Mitendewawa iliyopo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea.

Mgema pia ameahidi kumalizia mabati mengine 62 kwa ajili ya Ujenzi wa madarasa mawili na Ofisi moja ya shule hiyo.

Katika makabidhiano hayo Mkuu wa Wilaya ameeleza kuwa jukumu la Serikali ni kukamilisha madarasa na miundombinu mingine ya shule,hivyo amewataka Wananchi kuendelea kujenga madarasa ya kutosha kwa ajili ya kupunguza msongamano uliopo.

Katika jitihada za kukamilisha madarasa hayo mawili Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo ameahidi kutoa kiasi cha shilingi milioni kumi kwa ajili ya ukamilishaji wa madarasa hayo mawili.

Naye Mwenyekiti wa Mtaa wa Mitendewawa  Aron Mhagama ameeleza kuwa Shule ya Msingi mitendewawa ina wanafunzi 162 ambao ni kuanzia darasa la awali mpaka darasa la nne.

Hata hivyo amesema hadi sasa shule hiyo  ina madarasa mawili tu hivyo kufanya msongamano mkubwa wa wanafunzi.

Mhagama amesema mwaka huu wamepanga kukamilisha madarasa mawili na kujenga madarasa mapya matatu na ambapo hadi sasa wamefyatua tofari 40,000 kati ya 80,000 zinazohitajika.

Mwenyekiti huyo wa Mtaa ameiomba Halmashauri ya Manispaa kuongeza madawati kwenye shule hiyo, ombi ambalo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea amelikubali na kuahidi kulifanyia kazi haraka.

Imetolewa na Kitengo cha TEHAMA

Manispaa ya Songea

Julai 13,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa