• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MKUU wa wilaya ya Songea akabidhi milioni 71 kwa wajasirimali

Tarehe ya kuwekwa: January 20th, 2018

MKUU wa wilaya ya Songea Pololet Mgema amekabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 71 zilizotolewa na Halmashauri ya Manispaa ya Songea Kama mkopo kwa vikundi 53 kwa ajili ya kuendeleza miradi Yao.

Vikundi hivyo vinafanya miradi ya ufugaji wa ng’ombe,kuku wa mayai,ufugaji wa samaki na miradi mingine.

Halmashauri ya manispaa ya Songea kupitia mapato yake ya ndani imekuwa inatoa mikopo kwa vikundi vya wajasiriamali vya vijana na wanawake.

Afisa Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Manispaa hiyo Naftari Saiyoloi anasema kupitia mapato yake ya ndani Manispaa hiyo katika kipindi cha  nusu mwaka wa fedha wa 2017/2018  imetenga zaidi milioni 188 kwa ajili ya mfuko wa maendeleo ya wanawake na vijana.

Anasema kati ya fedha hizo milioni 170 zimelenga kukopesha vikundi 177 ambapo asilimia 10 ya fedha hizo ambazo ni sawa na milioni 18 zitatumika katika usimamizi na ufuatiliaji wa mrejesho.

Kulingana na Saiyoloi katika kipindi cha nusu mwaka wa fedha wa 2017/2018 Halmashauri ya Manispaa imewezesha vikundi vya wajasirimali sh.milioni 83 kati ya hizo milioni 66 tayari zimekwishaandaliwa kwa ajili ya kukopesha wanawake na vijana.

Anabainisha kuwa shilingi milioni 17  zitakopeshwa baada ya mchakato wa kutambua vikundi stahili vya kukopeshwa kukamilika katika Halmashauri ya Manispaa hiyo.

Hafla hiyo ambayo imefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea pia imehudhuriwa na Mstahiki Meya Abdul Hassan Mshaweji na Kaimu Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Mhandisi Samwel Sanya.

Taarifa imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa