• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC SONGEA ATOA ONYO KWA WAFANYABIASHARA WANAOTUMIA VIPIMO BATILI "DUMLA"

Tarehe ya kuwekwa: May 5th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Mgema ametoa onyo kwa wafanyabiashara wanaotumia vipimo batili kwa lengo la kuwaibia wananchi.

Akizungumza kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wakati akifungua semina iliyoandaliwa na wakala wa vipimo Mkoa wa Ruvuma ambayo imelenga kutoa elimu juu ya matumizi sahihi ya vipimo kwa wafanyabiashara mbalimbali iliyofanyika katika ukumbi wa Manispaa Songea tarehe 05.05.2021.

Pololet amebainisha kwamba kumekuwa na matumizi makubwa ya vipimo batili katika meneo ya biashara hususani kwenye masoko makubwa ambapo asilimia kubwa ya wafanyabiashara wamekuwa wakitumia vipimo visivyo rasmi na hivyo huwaibia watumiaji wa huduma hizo.

Amewataka wakulima na wafanyabiashara kuacha kutumia vipimo batili kama dumla,makopo, ndoo na lita ili wakulima na jamii kwa ujumla wapate tija yenye thamani sawa na uzalishaji wao, na yeyote atakayebainika kukiuka agizo hilo hatua kali itachukuliwa ‘Pololet alisisitiza’

Aidha ameagiza mamlaka zinazohusika na usambazaji wa maji (RUWASA na SOUWASA) kuhakikisha kwamba wanafungia wateja wao mita ambazo tayari zimehakikiwa na wakala wa vipimo Mkoa wa Ruvuma

Ameipongeza taasisi ya wakala wa vipimo kwa kuongeza maeneo mapya ya ukaguzi ili kupanua wigo na kumlinda mlaji kutokana na matumizi sahihi ya vipimo,  pia umetolewa wito kwa Wananchi kuzingatia matumizi ya vipimo sahihi kwa sababu kipimo ni muhimu katika maisha ya kila siku.

Naye Kaimu Meneja wakala wa vipimo Mkoa wa Ruvuma Nyagabona Edward Mkanjabi amesema kwamba mafunzo hayo yametolewa ili kuelimisha jamii juu ya matumizi sahihi ya vipimo na kuachana na vipimo batili ‘Alisisitiza’.

Baadhi ya wafanyabiashara walioshiriki semina hiyo wamepongeza wakala wa vipimo Mkoa wa Ruvuma kwa kuwapa elimu juu ya matumizi sahihi ya vipimo ambayo yatawasaidia kuwanufaisha wao na watumiaji wa huduma zao.

IMEANDALIWA NA,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA, 

05.05.2020

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa