• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DC SONGEA "shule kwa shule kukagua Wanafunzi walioripoti wa Kidato cha kwanza"

Tarehe ya kuwekwa: January 19th, 2023

Mkuu  wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amefanya ziara ya kushitukiza katika shule za Sekondari kwa ajili ya kufanya uhakiki wa wanafunzi walioripoti kidato cha kwanza sambamba na kuzungumza na walimu wa shule husika.

Elimu ni haki ya msingi ya  kila mtoto hivyo kila mwanafunzi aliyechaguliwa kujiunga  kidato cha kwanza 2023 lazima aende shule ambapo amewataka maafisa Tarafa kusimamia zoezi la wanafunzi wasioripoti shule na taarifa  hizo ziwasilishwe ofisi ya Mkurugenzi kila wiki.

Pololet aliongeza kuwa Serikali ya awamu ya sita inaendelea kufanya jitihada za kuongeza miundombinu ya kusomea, kutoa vifaa vya kufundishia ili kila mwanafunzi aweze kupata elimu bora  kwa maendeleo ya Taifa la letu.

Hayo yametolewa  jana tarehe 18 Januari 2023  ambapo alitembelea shule ya Sekondari Mashujaa, shule ya Sekondari  Matogoro, Shule ya Sekondari  Msamala, na Shule ya Sekondari Bombambili.

Amewataka wanafunzi kutekeleza wajibu wao ikiwemo na kushiriki vipindi vya masomo pamoja na kutenga muda wa ziada wa kujisomea wawapo majumbani mwao ili waweze kupata matokeo mazuri na kupandisha hali ya ufaulu kwa shule na Halmashauri husika

Akitoa  Kauli mbiu ya NIACHE NISOME, kiongozi huyo ametoa Rai kwa wanafunzi kuachana na tabia ya kujiunga na makundi hatarishi  ya utumiaji wa dawa za kulevya,  kushiriki  mapenzi  umri mdogo ambayo hupelekea wasichana kupata mimba  za utotoni ambazo huathiri masomo kwa watoto wa kike. “Pololet alikemea.”

Akibainisha hali ya kuripoti kwa wananfunzi wa kidato cha kwanza kwa shule ya Sekondari “Mashujaa alisema wanafunzi Pangiwa ni 309 kati ya hao walioripoti ni 172, Msamala Sekondari wanafunzi Pangiwa ni 773 walioripoti ni 397, Matogoro Sekondari wanafunzi pangiwa 232 walioripoti 263 kati yahao waliohamia 110 pamoja na shule ya Bombambili wanafunzi pangiwa 486 na walioripoti 353.”

Kwa upande wa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2023 ambao tayari wameshaanza masomo wametoa shukrani kwa Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hssan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutoa fedha kwa ajili ya kujenga madarasa mapya kwa kila shule ya sekondari. “ Wameshukuru”

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWSASILIANO SERIKALINI.



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa