• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DELIGHT GARDEN PARK YAANZA KUTOA HUDUMA

Tarehe ya kuwekwa: September 23rd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Songea Mhe. Kapenjama Ndile amewataka viongozi  kutoa ushirikiano kwa mwekezaji  wa Bustani ya Manispaa Songea Hamza Mohamedy “ DELIGHT GARDEN PARK”  ambayo  imefunguliwa tarehe 22 Sepytemba 2023  na kuanza kutoa huduma.

Akizungumza  kwenye tafrija hiyo Mhe. Ndile alisema” Hivi karibuni  Serikali inaanza ujenzi wa barabara kutoka Muhukulu kwenda Magwamila pia na ujenzi wa kiwanda cha Miwa ambacho itawezesha  kufungua fursa za kiuchumi na uwekezaji hususan  katika mji wa Songea.

Hivyo, amewataka wananchi, na wadau mbalimbali kuwekeza katika maeneo ya ndani ya Songea ili kuleta maendeleo ya kiuchumi, uwekezaji, viwanda na  fursa za kitalii.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma Komredi Oddo Mwisho  ametoa wito kwa Waheshimiwa Madiwani kuendelea kushirikiana na wataalamu  na kuhamasisha  wadau waweze kuja  kuwekeza  katika Maeneo mbalimbali  ili  kuleta maendeleo kwa wananchi wa Manispaa ya Songea.

Naye Afisa Biashara Joseph Martin Kabalo alisema “ Elimu iendelee kutolewa kwa wananchi juu ya uwekezaji ili kuweza kupata wadau wengi waweze kuwekeza katika maeneo mji wa Songea ikiwemo na hoteli.

Martin aliongeza kuwa Mil. 348 zimetumika katika uwekezaji huo ambao pia umesaidia kuongeza fursa za ajira  kwa wananchi wa Manispaa ya Songea. “Alipongeza”

Kwa upande wake kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Songea Janeth Moyo alitoa pongezi kwa Mwekezaji  Hamza Mohamedy  “ DELIGHT GARDEN PARK” kwa kuwekeza katika Bustani hiyo ambayo itawezesha Halmashauri kupataa mapato.

Kwa upande wake Mwekezaji Hamza Mohamedy  alitoa shukrani kwa Manispaa ya Songea kwa kumpatia eneo hilo kwa ajili ya uwekezaji ambapo amewataka viongozi, wananchi kumuunga mkono katika uwekezaji wake ambao amewekeza kwa gharama ya Mil. 348. “ alishukuru”

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 





Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa