• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

DKT. PHILIP MPANGO AZINDUA KITUO CHA AFYA LILAMBO.

Tarehe ya kuwekwa: July 22nd, 2023

Makamu wa Rais Dkt  Philip Mpango amewataka wataalamu wa afya Nchini kote  kuwa na uzalendo, uadilifu  na kuzingatia maadili ya utumishi wakati wanapo hudumia wagonjwa.

Kauli hiyo imetolewa tarehe 21 julai 2023 akiwa katika uzinduzi wa kituo cha afya Lilambo kilichojengwa kwa Mil. 503 fedha za mapato ya ndani  ambacho kimeanza kutoa huduma.

Dkt. Mpango amesema” Serikali imeendelea kusimamia Sekta ya afya  katika kuboresha huduma za afya hususani  kuongeza wataalamu wa afya kwa lengo la kutoa huduma bora kwa wananchi.

Amewataka kutunza miundombinu ya afya pamoja na utunzaji wa vifaa vilivyopo na kuhakikisha yanafanyika matengenezo ya miundombinu ya  mara kwa mara ikiwemo na matumizi sahihi ya dawa kwa wagonjwa.

Ametoa rai kwa mawakala wa Pembejeo ya Ruzuku kuacha  tabia ya kuwaibia Pembejeo wakulima, pia wakati wa kuuza mahindi wasiuze kwa kutumia vipimo visivyo rasmi (Rumbesa) ambavyo hupelekea kuwaibia wakulima.

Alisema Mkoa wa Ruvuma una bahati ya kupata mazao kwa wingi lakini ni mkoa ambao unaongoza kuwa na lishe duni hivyo amewataka akinamama wajawazito hadi kujifungua anatakiwa kula mlo wenye viini lishe ili kujenga lishe ya mama na mtoto anapozaliwa.

Kwa upande wake Waziri wa katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro alisema Kata ya Lilambo ina jumla ya Mitaa 8, yenye Zahanati 4, ndiyo maana wakaamua kujenga kituo  cha afya ambacho leo kimefunguliwa.

Dkt. Ndumbaro alisema,  Manispaa ya Songea imeendelea kutekeleza miradi mikubwa ikiwemo na Ujenzi wa Uwanja wa ndege wa kisasa ambao unachangi kipato kutoka kwa wageni ambao husafiri mara tatu kwa wiki, ujenzi wa chuo kikuu cha Uhasibu, ujenzi wa barabara KM 10.5 kuzunguka katikati ya mji, ujenzi wa barabar kutoka Makambako hadi Songea, miundombinu ya madarasa ya Elimu Msingi na Sekondari, pamoja na vituo 4 vya Afya na Hospitali ya Wilaya ambayo inaendelea kujengwa, na Hospital ya Rufaa ya Mkoa.    

Akitoa shukrani kwa mgeni rasm alisema”Tarehe 22 Julai 2023 umekuja kuandika historia kwa kuja kuzindua Msaada wa Sheria wa Mama Samia Kampeni. “alishukuru”

                                                                                          

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;                                                                                                  

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI. 






Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa