• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI ya Manispaa ilivyojipanga kutekeleza miradi ya ULGSP

Tarehe ya kuwekwa: August 23rd, 2018

HALMASHAURI  ya Manispaa ya Songea Mkoa wa Ruvuma inaendelea kutekeleza miradi mikubwa kupitia fedha zilizotolewa na Serikali kwa kupitia programu ya uimarishaji na uendelezaji miji (ULGSP) kwa ajili ya kutekeleza miradi ya miundombinu.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Tina Sekambo ameitaja Miradi hiyo ni pamoja na machinjio ya kisasa, ujenzi wa kituo cha mabasi cha Mkoa  na pia ujenzi wa barabara km 10.3 kiwango cha lami katika barabara za mitaa.

Amesema Kukamilika kwa miradi wa machinjio ya kisasa  kutaboresha uchinjaji wa kisasa hivyo kuongeza ubora wa bidhaa za nyama na kwamba  Pia kukamilika kwa barabara kwa kiwango cha lami katika manispaa hiyo kutaboresha mwonekano wa mji wa Songea.

"Kukamilika kwa ujenzi wa kituo cha mabasi cha Mkoa kutaboresha sekta ya usafirishaji na kupunguza msongamano katikati ya mji hivyo kuruhusu kituo cha mabasi kinachotumika sasa kwa mabasi yaendayo wilayani na maeneo yanayo izunguka Manispaa ya Songea na hivyo kuongeza mapato'',amesisitiza Sekambo.

Hata hivyo amesema Halmashauri inaandaa mradi wa kimkakati ili kujenga soko la kisasa la Manzese ambalo litaboresha huduma kwa Wananchi na kuiletea mapato Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Pia Halmashauri imepima viwanja 150 eneo la kata ya Lilambo kwa ajili ya uwekezaji hususani kwenye sekta ya viwanda.

Imetolewa na 

Victoria Ndejembi,

Kitengo TEHAMA Manispaa Songea,

22 Agosti 2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa