• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea yatoa milioni 70 kwa wajasirimali wadogo

Tarehe ya kuwekwa: April 10th, 2019

HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma  imetoa mkopo wa shilingi milioni 70 kwa vikundi 46 vya wajasirimali wadogo.

Hafla ya kusaini mikataba ya mikopo hiyo imefanyika kwenye ukumbi wa SACCOS ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea ambapo wajasiriamali hao wamepewa mafunzo ya namna ya kutumia mkopo huo.

Akitoa taarifa ya utoaji mikopo hiyo kwa vikundi vya wanawake,vijana na makundi maalum,Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii katika Manispaa ya Songea NaftariSaiyoloi amesema kati ya fedha hizo,vikundi vya wanawake 26 vimekopeshwa zaidi ya milioni 29,vikundi 13 vya vijana vimekopeshwa zaidi ya shilingi milioni 27 na vikundi saba vya wenye ulemavu vimekopeshwa zaidi ya shilingi milioni 12.

Hata hivyo amesema katika fedha hizo,asilimia kumi ya mapato ya ndani ni zaidi ya shilingi milioni 120 na marejesho ni zaidi ya shilingi milioni 103 na kufanya jumla ya  fedha zilizokopeshwa kuwa zaidi ya milioni 233 ambazo zimetolewa katika vikundi 143.

“Kuanzia mwaka huu wa fedha wa 2018/2019 hakutakuwa na riba ya asilimia 10 kama ilivyokuwa miaka ya nyuma,hivyo vikundi vyote vinakopeshwa na wanatakiwa kurejesha kiasi wanachokopeshwa’’,amesisitiza Saiyoloi.

Kulingana na Saiyoloi,katika kipindi cha mwaka 2018/2019 Manispaa ilifanikiwa kukopesha zaidi ya shilingi milioni 154 na kwamba fedha hizo ni kati ya lengo la kukopesha zaidi ya shilingi milioni 175.

Hata hivyo amesema katika kipindi hicho vikundi vya wanawake 52 vimekopeshwa zaidi ya shilingi milioni 62,vikundi vya vijan 32 vimekopeshwa zaidi ya shilingi 62 na vikundi vya wenye ulemavu 13 vimekopeshwa zaidi ya milioni 30 na kufanya vikundi 97 kukopeshwa.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa