• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

IJUE DAWA ILIYOCHANGANYWA NA MAJI,PUNJE ZA MAHINDI NA MTAMA NA ILIVYOWASADIKISHA WAPIGANAJI WA VITA VYA MAJIMAJI

Tarehe ya kuwekwa: February 26th, 2020

Ni katika Kongamano lililofanyika Jana 25/02/2020 katika ukumbi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

 Mgeni Rasmi wa Kongamano la Tamasha ya Kumbukizi ya Vita vya MajiMaji ni Dr Willy Migodela Makamu Mkuu wa Chuo cha SOCAITE kilichopo manispaa ya Songea.

 Dr Willy  alizitaja Taasis au Wadau mbalimbali ambao wameshiriki katika kongamano hilo ni pamoja na Makumbusho ya Taifa, Wizara ya Maliasili, Idara ya Mali Kale, Ruaha National Park, Baraza la Makumbusho (M) Ruvuma, Wananchi Mbalimbali, Pamoja na baadhi ya  wawakilishi wa wanafunzi kutoka Shule za Msingi na Sekondari zilizopo manispaa ya Songea.

 Vita vya majimaji ni Vita vya Ukombozi vilivyopigana ili kunyofoa katika Utawala wa Kijerumani  uliokuwa unaotesha mizizi yake nchini Tanzania, ili kupinga utawala wa kikoloni, kupinga  kunyanyaswa, kunyang’anywa ardhi, kupinga uwepo wao katika himaya zao.

Aliitaja  Mikoa ya Kusini Mashariki  ya Tanzania ambayo Vita hivyo vilipigana katika Ardhi ya Mikoa ya Ruvuma,Njombe,Iringa,Morogoro,Lindi,Mtwara,Pwani,Dar es salaam, na Tanga(Pangani).   Miongoni mwa makabila yaliyoshiriki katika kupigana Vita  vya majimaji ni; Wangoni,Wasangu, Wahehe, Wamatumbi,Wamwera, Wangindo, Wapogoro, Wayao, Wandendeule,Wamatengo, Wabena, Wahehe  na makabila mengine.

Kutokana na mapambano makubwa yaliyofanyika katika Kijiji cha Maposeni  ambayo yalipelekea kukamatwa kiongozi Nkosi Mputa mnamo tarehe 10/01/1906  katika vijiji vya Peramiho, Kigonsera, Kingole,na Namabengo na Mjini Songea  yalipelekea viongozi (100)  wa kingoni kunyongwa 27/02/2020  ndio sababu ya kilele cha Tamasha la kumbukizi ya Vita vya Majimaji kufanyika kila mwaka.

KAULI MBIU “MCHANGO WA VITA VYA MAJIMAJI KATIKA KUENDELEZA  NA KURITHISHA  URITHI                     WA UTAMADUNI KWA MAENDELEO YA TAIFA”

                                                                   IMEANDALIWA NA;

                                                                       AMINA PILLY

                                                       KAIMU  AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa