• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI MANISPAA YA SONGEA, YAFANYA ZIARA YA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO.

Tarehe ya kuwekwa: May 6th, 2022

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

06 Mei, 2022

Kamati ya fedha na uongozi ya Halmashauri ya Manispaa ya Songea imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Halmashauri hiyo leo tarehe 6 Mei 2022.

Akizungumza katika ziara hiyo, Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Michael Mbano alisema kuwa, lengo la kufanyika kwa ziara hiyo ni kukagua utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuchochea kasi ya ukamilishwaji wa miradi hiyo pamoja na kutatua changamoto zinazojitokeza katika zoezi la ukamilishwaji wa miradi mbalimbali.

Katika ziara hiyo kamati ya fedha na uongozi imeweza kukagua jumla ya miradi nane ambayo ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Subira unaogharimu Tsh. 500,000,000 zitokanazo na fedha za tozo, ujenzi wa kituo cha afya Lilambo unaogharimu Tsh. 500,000,000 fedha kutoka mapato ya ndani, ujenzi wa miundombinu ya maji shule ya msingi Ruhuwiko (mradi wa EP4R) Tsh. 11,872,379 na ujenzi wa zahanati ya Ruhuwiko unaogharimu Tsh. 50,000,000 fedha kutoka Serikali kuu.

Kamati imetembelea mradi wa ujenzi wa madarasa 3 shule ya msingi Mkuzo (mradi wa Tea) Tsh. Million 60,000,000, ujenzi wa madarasa 8 Ruhila Sekondari unaogharimu Tsh. 470,000,000 mradi wa SEQUIP, ujenzi wa madarasa 3 shule msingi Ruhilaseko (mradi wa Tea) Tsh. 60,000,000 pamoja na ujenzi wa matundu 24 ya vyoo shule ya msingi Matogoro unaogharimu Tsh. 40,000,000 (mradi wa Tea) ambapo kamati imeridhishwa na utekelezaji wa miradi hiyo.

Mwisho.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa