• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI SONGEA MC, YAKAGUA MIRADI

Tarehe ya kuwekwa: October 20th, 2022

Kamati ya fedha  na uongozi Manispaa ya Songea  kwa kushirikiana na wataalamu imeweka mpango mkakati wa kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ndani  kupitia  vyanzo  vyake vya mapato kwa lengo la kuongeza tija ya ukusanyaji wa mapato katika  Halmashauri.

Kauli hiyo imebainishwa leo tarehe 20 Oktoba 2022  wakati wa ziara ya kamati ya fedha na uongozi iliyofanyika kwa lengo la  kujiridhisha na kukagua hatua mbalimbali za utekelezaji wa miradi ya ujenzi, na kutembelea  vyanzo mbali mbali  vya mapato hususani chanzo cha madini ya ujenzi.

Ziara hiyo ya siku moja ambayo imeongozwa na mstahiki Meya Manispaa ya Songea Michael Mbano ambaye amewataka wataalamu  kuwa wabunifu katika kuibua vyanzo vipya vya mapato  ambavyo vitawezesha  kuongeza ufanisi katika ukusanyaji wa mapato.

Kamati ya fedha na uongozi imetembelea mradi wa kituo cha afya Mletele unaotekelezwa kwa gharama ya shilingi 545,334,640, ujenzi wa mabweni 2 na vyumba 3 madarasa ya shule ya sekondari ya wavulana Songea kwa gharama ya Mil. 260, ujenzi wa bweni 2 na vyumba vya 4 vya  madarasa shule ya Sekondari wasichana Songea kwa gharama ya shilingi Mil. 280, eneo la ujenzi wa Holding Ground   pamoja na kutembelea chanzo cha madini ya ujenzi.


Naye Mchumi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Andambike Kyomo akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea alisema Manispaa ya Songea imekusudia kukusanya kiasi cha shilingi Mil. 151,200,000 kupitia vyanzo vya madini ya ujenzi ambapo kuanzia julai hadi tarehe 20 Oktoba  2022 Manispaa ya Songea tayari  imekusanya kiasi  cha shilingi Mil. 10,200,000 na zoezi linaendelea.

AMINA PILLY

KITENGO CHA  MWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Chupa 14,789 za Damu Kukusanywa Mkoani Ruvuma

    June 04, 2025
  • Mazishi ya Muasisi wa TANU Alhaji Mustapha Songambele

    June 03, 2025
  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • Tazama zote

Video

katibu Mkuu CCM Taifa Aongoza Maziko ya Alhaji Songambele
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa