• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA FEDHA NA UONGOZI YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO

Tarehe ya kuwekwa: August 14th, 2023

Kamati ya fedha na Uongozi Manispaa ya Songea ikiongozwa na Naibu Meya  Mhe. Jeremia Mirembe wamefanya ziara ya kutembelea miradi ya maendeleo pamoja  kukagua utendaji wa kazi na kujionea hali halisi ya utekelezaji wa miradi hiyo.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 14 Agosti 2023 ambayo  ilishirikisha waheshimiwa Madiwani wa kamati ya fedha na uongozi, pamoja na wataalamu kwa lengo la kukagua miradi ya BOOST ambayo ipo hatua ya ukamilishaji.

Akizungumza Mhe. Jeremia kwaniaba ya Mstahiki Meya Manispaa ya Songea alianza kwa kuwapongeza wataalamu wote kwa usimamizi bora wa miradi ya maendeleo ambapo amewataka wataalamu kuhakikisha wanaendelea kusimamia miradi hiyo na kukamilisha kwa wakati.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa ni pamoja na ujenzi wa shule ya Msingi Kipera kwa gharama ya Mil 513, ujenzi wa madarasa matatu na matundu 3 ya vyoo kwa shule ya Msingi Mbulani kwa gharama ya Mil 77, Ujenzi wa madarasa 2  katika shule ya Msingi Matogoro kwa gharama ya Mil. 53, Ujenzi wa Madarasa mawili shule ya Msingi Bombambili kwa gharama ya Mil. 53, Ujenzi wa madarasa 2 na matundu 3 ya vyoo shule ya Msingi Mkuzo kwa gharama ya Mil. 53 Ujenzi wa Vyumba 10 vya madarasa, mabweni 4, na matundu ya vyoo 15 katika shule ya Sekondari Emmanuel Nchimbi kwa gharama ya Mil. 777, Ujenzi wa madarasa 3 na matundu 3 ya vyoo katika shule ya Msingi Ruhuwiko kwa gharama ya Mil. 77, pamoja na ujenzi wa Madarasa 2 ya awali katika shule ya Msingi Amani kwa gharama ya Mil. 66 ambapo ujenzi wote upo  hatua ya Ukamilishaji.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa