• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA LISHE YAJIPANGA KUONDOA ASILIMIA 0.1% ZA UTAPIAMLO.

Tarehe ya kuwekwa: September 14th, 2023

Mwenyekiti wa kamati ya Lishe Manispaa ya Songea amewataka wataalamu wa Lishe, kuhakikisha wanaendelea kutoa elimu ya lishe kwa jamii ili kuondoa  utapiamlo  kwa watoto chini ya miaka 5  ambao  katika kipindi cha Aprili hadi Juni ni watoto  13 sawa na asilimia 0.1%  za watoto wenye utapiamlo mkali.

Takwimu  hiyo imekuja mara baada ya kufanya uchunguzi wa hali ya lishe kwa kutumia mzingo wa mkono kwa watoto chini ya miaka 5 ambapo jumla ya watoto 33, 755 wenye  umri chini ya miaka 5 walichunguzwa  hali ya lishe kati ya 32,216 ambayo sawa na asilimia 104.7.9%, pia  kati ya hao 13 waligundulika kuwa na utapiamlo mkali sawa na asilimia 0.1%.

Aidha jumla ya watoto 1257 ambao ni sawa na 3.7% walichunguzwa na waligundulika kuwa na utapiamlo wa kadiri, pia watoto 32485 walichunguzwa sawa na asilimia 96.2 hawakuwa na utapiamlo.

Kikao hicho kimefanyika leo tarehe 14 Septemba 2023 katika ukumbi wa Manispaa ya Songea kwa lengo la kufanya tathimini ya utekelezaji wa shughuli za lishe katika kipindi cha Aprili hadi Juni 2023.

Akizungumza Afisa Elimu Sekondari Bi. Janeth Moyo  kwa niaba ya Mkurugenzi Manispaa ya Songea  ambapo amewataka wakuu  wa shule kuhakikisha wanazisimamia klabu za lishe za shule ili utekelezaji wa shughuli za lishe uweze kutekelezeka kwa usahihi.

Imeandaliwa na;                                        

Amina Pilly;

Kitengo cha Mawasiliano Serikalini.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa