• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMATI YA SIASA WILAYA YA SONGEA MJINI YARIDHISHWA NA MIRADI.

Tarehe ya kuwekwa: February 3rd, 2023

Kamati ya Siasa CCM Wilaya ya Songea ikiongozwa na mwenyekiti wa chama hicho Mwinyi Msolomi wamefanya ziara ya kutembelea miradi mbalimbali ya maendeleo  na kuridhishwa na utendaji wa kazi  wa miradi hiyo.

Ziara hiyo imefanyika leo tarehe 03 Februari ambapo wameweza kufanikiwa kutembelea miradi ya ujenzi wa madarasa 6 katika shule ya Sekondari London kwa shilingi Mil. 120 fedha kutoka Serikali kuu, Ukamilishaji wa vyumba 2 vya madarasa shule ya Msingi  Londoni kwa gharama ya shilingi Mil. 25, Upanuzi wa shule za Sekondari  kidato cha sita shule ya wasichana  Songea kwa shilingi Mil 280.

Aidha Miradi mingine iliyotembelewa ni ukamilishaji wa zahanati ya Makambi kwa shilingi Mil. 50, ujenzi wa vyumba viwili 2 vya madarasa   shule ya Sekondari  Matogoro kwa shiligi Mil. 40  kutoka Serikali kuu, Ukaguzi wa Barabara Mil. 700 kutoka Tunduru JCT – Seedfarm – Kuchile  kwa shilling 398.

Miradi  ya upanuzi wa  shule za Sekondari ya Wavulana  Songea kwa shilingi Mil. 260 pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Mletele kwa shilingi 545 fedha za Global Fund,  Ujenzi wa chumba 1 cha maabara na cha Kompyuta katika shule ya Sekondari Ruhila na ujenzi wa madarasa 7 bombambili Sekondari kwa shilingi Mil 140 kutoka Serikali kuu ambayo yameanza kutumika.

Msolomi alianza kwa kuwapongeza wataalamu wa Manispaa ya Songea, waheshimiwa Madiwani kwa ushirikiano bora wa usimamiaji wa  miradi  mbalimbali ya maendeleo ambayo baadhi yake miradi  imekamilika na imeanza kutumika na miradi mingine ipo hatua mbalimbali za ukamilishaji. “Alipongeza”


Amewataka wataalamu pamoja na viongozi wa chama ngazi ya Wilaya, kata, Mitaa kuhakikisha wanafuatilia suala la wanafunzi waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza ambao hawajaripoti shule waende shuleni mara moja  na amewataka kufanaya vikao shirikishi na wazazi au walezi ili kubaini changamoto zao.

Ametoa wito kwa wazazi na walezi kuhakikisha kila mtoto anapata chakula  awapo  shuleni ili kujenga afya ya  akili ya mwanafunzi  ambayo itawezesha kupanda kwa ufaulu  wa shule.

Kwa upande wa wajumbe wa kamati ya siasa Wilaya wakitoa maoni kuhusu miradi waliyotembelea ambapo wamewataka wataalamu kumalizia miradi ambayo haijakamilika pamoja  na kutekeleza maelekezo yaliyotolewa kuhusu miradi hiyo. 

 

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO  SERIKALINI

  



Matangazo

  • MATANGAZO mbalimbali ya Manispaa ya Songea kwa njia ya Redio January 31, 2020
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Januari 2020 January 25, 2020
  • MATANGAZO muhimu kwa wakazi wa Manispaa ya Songea January 31, 2020
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • MIAKA MIWILI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN " SONGEA MC "

    March 17, 2023
  • BIL 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA.

    March 11, 2023
  • YALIYOJIRI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI RUVUMA

    March 09, 2023
  • DC Songea ameitaka Jamii kupinga Ukatili wa Kijinsia

    March 02, 2023
  • Tazama zote

Video

BIL. 145.77 KUTATUA CHANGAMOTO ZA MAJI MJI WA SONGEA
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa