• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMPENI ya Furaha yangu Manispaa ya Songea kuanza Novemba 15 hadi 24

Tarehe ya kuwekwa: November 14th, 2018

MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MANISPAA YA SONGE,ITAFANYA KAMPENI YA UPIMAJI WA VIRUSI VYA UKIMWI KATIKA MAENEO YENYE MIKUSANYIKO MIKUBWA YA WATU.KAMPENI HII NI MWENDELEZO WA KAMPENI YA FURAHA YANGU ILIYOZINDULIWA KATIKA MKOA WA RUVUMA TAREHE 30/08/2018.

KAMPENI YA FURAHA YANGU KATIKA MANISPAA YA SONGEA INAANZA TAREHE 15/11/2018 HADI 24/11/208 KAMA RATIBA INAVYOONESHA:

1.TAREHE 15/11/2018,KATA YA MISUFINI,ENEO LA OFISI YA KATA NA  SODECO.

2.TAREHE 16/11/2018,KATA YA RUVUMA,ENEO LA STENDI

3.TAREHE 17/11/2018 NA 18/11/2018,KATA YA MJINI,MAENEO YA SOKO KUU NA IKWETA

4.TAREHE 19/11/2018,KATA YA MAJENGO,ENEO LA STENDI YA MALORI

5.TAREHE 20/11/2018,KATA YA MFARANYAKI,ENEO OFISI YA KATA

6.TAREHE 21/11/2018,KATA YA MSAMALA,MAENEO YA STENDI YA MABASI,MTAZAMO NA VETA

7.TAREHE 22/11/2018 NA 23/11/2018,KATA YA LILAMBO,MAENEO YA STANDI NA SINAI

8.TAREHE 24/11/2018 KATA ZA MATOGORO NA LIZABONI,MAENEO YA TTC,VIJIWE VYA BODABODA NA STENDI YA LIZABONI.

HUDUMA HIYO ITATOLEWA KUANZIA SAA 9.30 ALASIRI HADI SAA 2.00 USIKU,LENGO LIKIWA NI KUWAFIKIA WATU WOTE AMBAO MCHANA WANAKUWA NA MAJUKUMU MENGINE YA UJENZI WA TAIFA.

HUDUMA HIYO PIA IMELENGA KUWAFIKIA MAKUNDI MAALUM KATIKA MAENEO YAO YALIOAINISHWA.

WATAKAOGUNDULIKA KUWA NA MAAMBUKIZO YA VVU,WATAPEWA RUFAA YA KWENDA KATIKA KLINIKI ZA TIBA NA MATUNZO ILI WAKAPATE HUDUMA ZAIDI.

WANANCHI WOTE MNASHAURIWA KUJITOKEZA KUPIMA

MIMI NIPO TAYARI KUILINDA FURAHA YANGU,WEWE JE?

TANGAZO LIMETOLEWA NA MKURUGENZI WA MANISPAA YA SONGEA

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa