• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAMPUNI YA MOHAMMED ENTERPRISE "MO" yatoa msaada kwa watoto yatima Manispaa ya Songea.

Tarehe ya kuwekwa: February 5th, 2021

Kampuni ya Mohamed Gulam  Dewji “MO” Enterprise  tawi la Songea Mjini imetoa msaada wa chakula  kwenye vituo vya kulelea watoto yatima  kwa lengo la kuunga mkono  jitihada za Serikali ya awamu ya tano,  wenye thamani ya shilingi 1,833,000.

Mgeni rasmi katika zoezi hilo alikuwa  Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme ambaye aliwakilishwa na Afisa ustawi wa jamii Manispaa ya Songea  Vicent Ndumbaro,  lililofanyika kwa nyakati tofauti katika vituo vitatu vya kulelea watoto yatima SWACCO iliyopo kata ya Mwengemshindo, ST. ANTON iliyopo kata ya Mfaranyaki, na MCHUNGAJI MWEMA iliyopo kata ya Mjimwema katika  Manispaa ya Songea iliyofanyika leo tarehe 05.02. 2021.

Ndumbaro alianza kwa  kutoa pongezi kwa kampuni ya Mohammed Enterprise “MO” kwa kutoa msaada  wa  mafuta ya kula lita 120 yenye thamani ya shilingi 516,000/=, unga wa Sembe kilo 300 wenye thamani ya shilingi 234,000/=, sabuni katoni 12 zenye thamani ya shilingi 120,000/=, sabuni ya unga kilo 90 zenye thamini ya shilingi 168,000/=, Juisi katoni 30 zenye thamani ya shilingi 195,000/=, mbuzi 6 wenye thamani ya shilingi 600,000/=, zenye  jumla ya shilingi milioni moja, laki nane, na thelathini na tatu elfu tu 1,833,000/=.

Alibaisha kuwa,  Manispaa ya Songea ina jumla ya  vituo vya kulelea watoto yatima vitano 5, hivyo bado kuna uhitaji wa wadau/ wahisani  mbalimbali kuendelea  kujitokeza kwa wingi   kusaidia watoto yatima pamoja na wanaoishi katika mazingira hatarishi wanapopta nafasi ya kufanya hivyo.

Naye Angel Issack Samasuba mwakalishi wa Kampuni ya “MO” tawi la Songea Mjini, alisema Kampuni hiyo imekuwa ikitoa msaada mara kwa mara kwa makundi maalmu kwa lengo la kuunga mkono jitihada za Serikali pamoja na kuwapa faraja ili waishi kama jamii nyingine.

Nao walezi wa vituo vya kulelea watoto yatima Kwa nyakati tofauti wakitoa shukarani  zao kwenye kampuni hiyo  ambapo walisema “ wanaishukuru kampuni ya Mohammed Enterprise kwa msaada uliotolewa kwa watoto hao kwani utawasaidia kupunguza sehemu ya changamoto vituoni mwao na kuwaomba wadau wengine kuwa na tabia ya kuwatembelea watoto yatima vituoni.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

05.02.2021

 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa