• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KATA ya Lilambo yatumia milioni 1,5kujenga vyumba viwili vya madarasa

Tarehe ya kuwekwa: September 2nd, 2019

 KATA ya Lilambo katika Manispaa ya Songea imeganikiwa kujenga vyumba viwili vya madarasa vilivyogharimu kiasi cha shilingi 1,500,000.

Afisa Mtendaji wa Kata hiyo Agnes Ndunguru amesema kati ya fedha hizo shilingi  10,000,000 ni fedha kutoka Halmashauri ,Shilingi 500,000 ni mchango wa nguvu za Wananchi

Afisa Mtendaji huyo ametoa taarifa ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa shule ya Lilambo B kwa Wajumbe wa Kamati ya siasa Mkoani Ruvuma.

Ndunguru amesema Kata ya Lilambo ni miongoni mwa kata 21 zilizopo katika Manispaa ya Songea ambapo kata hiyo ina jumla ya Mitaa 8 na jumla ya wakazi ni 13956 ,Wanaume 6763 na Wanawake 7193 ,shughuli zinazoendeshwa na wakazi hao ni kilimo ,ufugaji na biashara.

Akiendelea kuzungumza haya amesema mradi wa ujenzi wa Shule ya Msingi Lilambo B uliibuliwa na Wananchi wa Kata hiyo baada ya kukosekana kwa huduma ya Shule katika Mtaa huo ambapo  Wananchi walianza kwa kufyatua tofali 72000 na ujenzi ulianza rasmi 06/07/2017 ,matofali yaliyotumika mpaka sasa ni 5400 na tofali 1800 zimesalia.

“Ujenzi umefikia asilimia 85 kazi zilizobaki ni ukamilishaji wa sakafu ,madirisha ,milango ,madawati na ujenzi wa vyoo”.Amesema Ndunguru

Hata hivyo amesema lengo la mradi huu ni kurahisisha upatikanaji wa huduma za Elimu karibu na wakazi wa Mtaa wa Lilambo B wapatao 2041 na lengo la Shule ni kuhudumia wanafunzi 102 ambao wanapata adha kubwa ya kufuata huduma ya Eimu kwa kutembea mpaka Shule iliyopo Mtaa wa Lilambo A.

Eneo limefanyiwa upimaji wa awali na Halmashauri ambapo ukubwa wa eneo ni hekari 4.1.

Imeandaliwa na

Elika Mwakinandi

Wa kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea

Septemba 3,2019

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa