• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KAYA 76,843 KUMEZESHWA DAWA ZA USUBI NA MINYOO YA TUMBO

Tarehe ya kuwekwa: August 17th, 2024

Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba, amewataka wananchi kuendelea  kutoa ushirikiano kwa wataalamu wa afya katika  zoezi la linaloendelea la  umezeshwaji wa dawa za kinga tiba ya Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele ikiwemo na Usubi, na  Minyoo ya tumbo  ambalo limeanza kufanyika leo tarehe 17 hadi 21 August 2024.

Zoezi  hilo hufanyika kila mwaka Kitaifa chini ya Wizara ya Afya kwa kushirikiana na RTI, ambapo kwa Manispaa ya Songea zoezi hilo limeanza kufanyika  leo tarehe 17  hadi 21 Agosti 2024, ambayo itafanyika kwa kata zote 21 na Mitaa 95 kwa walengwa wenye umri  wa miaka 5 na kuendelea.  

Akizungumza na waandishi wa habari   ofisini  kwake leo tarehe 17 Agosti 2024,  amewataka wananchi hao kushiriki kikamilifu katika zoezi la umezeshwaji  wa dawa za usubi na  minyoo ambalo linasimamiwa na wataalamu wa afya pamoja na  wahudumu waliopewa mafunzo maalumu ya ugawaji wa dawa kutoka kila mtaa ambao watapita kwenye kaya 76,843 zilizopo ndani ya Manispaa ya Songea.

Kwa upande wake Mratibu wa Magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele Bload Komba alisema “ kabla ya kuanza zoezi hilo, wamewza  kutoa  mafunzo kwa wataalamu wa afya sambamba na kuendelea  uktoa  wa elimu kwa wananchi kupitia  wenyeviti  wa mitaa 95.

Alisema lengo la zoezi hilo ni umezeshaji wa kinga tiba kwa jamii kwa lengo la  kuwafikia  asilimia 80% kwa wananchi wasiopungua 250,000 kati ya 306,134, kwa kaya 76,843.

Miongoni mwa dalili za ugonjwa wa usubi ni pamoja na ngozi kuwasha sana, ngozi kuwa na ukurutu usiotibika, ngozi kuchakaa mithili ya ngozi ya kenge au mamba, ngozi kuwa na mabaka mabaka mithili ya mtu aliyeungua na moto kama ya chui.

Bload alibainisha Madhara ya magonjwa yake ni pamoja na kutokuona vizuri na hatimaye upofu, kushindwa kufanya kazi nan a hivyo kuwa tegemezi na umaskini katika kaya na jamii.

IMEANDALIWA NA;

AMINA PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.




Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa