• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIFAHAMU kikundi cha ufugaji ng'ombe cha Bariki Lilambo

Tarehe ya kuwekwa: June 10th, 2018

KIKUNDI cha Bariki ni miongoni mwa vikundi vinavyojishughulisha na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa katika Manispaa ya Songea. Kikundi hiki kilichopo Kata ya Lilambo kilianzishwa mwaka 2013 kwa usajili namba CBO/00409 wa tarehe 21-08 –2013 Kikiwa na idadi ya wanachama 18 ambapo wanawake ni 17 na mwanaume ni mmoja.

Lengo la mradi ni kuboresha lishe, kutoa ajira kwa vijana, kuongeza kipato cha wanakikundi na hatimaye kuinua uchumi wa viwanda kwa kuanzisha kiwanda kidogo cha kusindika maziwa.

Taarifa za kikundi hicho inaonesha kuwa  kikundi hiki kilipatiwa mradi wa Ng’ombe wanane kutoka Halmashauri ya Manispaa ya Songea  Aprili 2017. Kwa sasa idadi ya Ng’ombe imeongezeka kutoka ng’ombe wanane hadi 12, hii  ni kutokana na kuzaliwa ndama wanne. Mradi huu mpaka sasa umegharimu zaidi ya shilingi milioni 12.

Uzalishaji wa maziwa ni wastani wa lita 13 mpaka 15 kwa siku kwa kila ng’ombe. Endapo ng’ombe wote watazaa, uzalishaji wa maziwa kwa miezi 10 kwa ng’ombe wote 8 zitapatikana lita 36,400 na kukipatia kikundi  Shilingi 30,940,000.00 kwa wastani wa bei shilingi 700 mpaka 1000. Fedha hizi zitatusaidia kusomesha watoto,kuchangia bima za afya na kujenga nyumba za kisasa.

Malengo ya baadaye ya kikundi ni kuanzisha kiwanda kidogo cha usindikaji maziwa kwa sababu ndani ya kata ya Lilambo kuna jumla ya ng’ombe 882 wa asili na wa kisasa wanaozalisha maziwa lita 77520 kwa mwaka.

 Ni matarajio  kwamba mradi huu utawakwamua wanakikundi na umaskini na kuwafikisha kwenye uchumi wa viwanda endapo soko la maziwa litaboreka

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 10,2018.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa