• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIFAHAMU kitengo cha Biashara Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: June 21st, 2018

MAMLAKA za Serikali za Mitaa ndizo zilizopewa Majukumu na Mamlaka ya kukusanya mapato ya  ada na ushuru mbalimbali kwa kutumia sheria mama yaani zilizotungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sheria ndogo zinazotungwa na  Halmashauri.

Hivyo  Halmashauri  ina jukumu la  kuweka  mazingira wezeshi ya kufanya shughuli za biashara  na mikakakati mbalimbali  kwa ajili ya  kukusanya Mapato kutoka  vyanzo vilivyoidhinishwa na serikali na  vilivyobuniwa  na Halmashauri vinakusanywa na  kuhakikisha kila chanzo kilichobuniwa  kinafikia malengo/makisio yanayopangwa kila mwaka.

Lengo la Serikali kuzipa Mamlaka serikali za Mitaa ni Kuboresha na kuongeza  wigo wa Mapato ya ndani ya Halmashauri kwa ajili ya kuimarisha utoaji wa huduma bora za Msingi kwa wananchi na kuwa na uwezo wa kiuchumi na kumudu uendeshaji wa shughuli za halmashauri za kila siku.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea ina jumla ya wafanyabiashara 10,486 ikiwa wafanyabiashara 3034  ni wafanyabiashara walio rasimishwa kwa kupewa Leseni za Biashara. Kati ya hao  wafanyabiashara 2,748  ni wa aina mbalimbali za Biashara   286 ni wafanyabiashara wa Bar na Grocery, 203 ni  nyumba za kulala wageni, 1,820 ni wafanyabiashara wadogo walioko kwenye masoko ya manispaa na kwa upande wa  pikipiki za magurudumu mawili na Matatu inakadiriwa  kuwa kuna jumla ya pikipiki 4,000 zinazosafirisha abiria katika Manispaa ya songea

Aidha Manispaa ya Songea  inawafanyabiashara wasio rasmi wapatao 2,080 ambao wanaendesha shughuli zao katika maeneo yasiyo rasmi ambayo  hayajatengwa na halmashauri  kwa ajili ya shughuli za  biashara.

2.0 SHERIA ZINAZOSIMAMIA SHUGHULI ZA BIASHARA

Katika kuhakikisha shughuli za Biashara na Viwanda zinaendeshwa kwa kufuata taratibu na sheria, Serikali imeweka sheria mbalimbali kwa ajili ya kusimamia uendeshaji ya shughuli za biashara. Sheria hizo ni kama ifuatavyo:

  1. Sheria ya Leseni za Biashara Na. 25 ya Mwaka 1972 ambayo imekuwa ikifanyiwa marekebisho ya mara kwa mara na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.(marekebisho yamefanyika mwaka 1980, 2004, 2013) ili kuendana na wakati.
  2. Leseni ya vileo Na. 28 ya Mwaka 1968 sheria hii inasimamia vileo vya Viwandani  na vileo vya asili(Vilabu vya Pombe za Kienyeji)  sheria hii ipo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu. Haijawahi kufanyiwa marekebisho toka kutungwa kwake.
  3. Sheria ya Ushuru wa nyumba za kulala wageni(Guest house Levy ya Mwaka 1972)  na marekebisho yake ya mwaka 2015
  4. Sheria ya  usafirishaji abiria kwa  kutumia pikipiki za magurudumu mawili na  matatu zinazojulikana kama “the transport licensing (motor cycle and tricycles) regulation, 2010”.
  5. Pamoja na Sheria mbalimbali za Mamlaka za Uthibiti(regulatory Authority) kama EWURA, SUMATRA, CRB, TFDA n.        
  6. Endelea kufuatilia ili kufahamu zaidi kuhusu kitengo cha Biashara Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa