• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIJIJI PEKEE AMBACHO HAKINA MALARIA RUVUMA

Tarehe ya kuwekwa: December 8th, 2017

KIJIJI cha Mpepo kipo katika Kata ya Mpepo Halmashauri ya wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma,kilianzishwa mwaka 1967 hadi sasa kina wakazi 3840.

Kata ya Mpepo yenye wakazi 8,978 inaundwa na vijiji vitano ambavyo ni Mpepo,Mindu,Kihuninga,Mtetema na Darpori.

Katika hali inayowashangaza wengi katika kijiji cha Mpepo hakuna tishio la ugonjwa wa malaria kama ilivyo katika vijiji,wilaya na mikoa mingi hapa nchini ambapo takwimu za kitaifa zinaonesha ugonjwa wa malaria unaoongoza kwa kusababisha vifo vingi.

Mwenyekiti wa Kijiji cha Mpepo Kilian Kumburu amesema unaweza kuishi katika kijiji hicho kati ya miaka 10 hadi 15 bila kupata ugonjwa wa malaria na kwamba baadhi ya watu hawaugui kabisa.

Hata hivyo bado haijulikani kwanini maambukizo ya vimelea vya malaria katika kijiji hicho yapo chini licha ya kuwepo mabonde yenye vyanzo vya maji,miti,nyasi na zao la kahawa.

Kulingana na Mwenyekiti huyo,asili ya neno Mpepo linatokana na kijiji hicho kuwa na upepo mkali kipindi chote cha mwaka unavuma toka ziwa Nyasa.Hata hivyo anasema upepo unavuma zaidi na kuezua nyumba na kuangusha miti katika kipindi cha kuanzia mwezi Januari hadi Februari.

Ili kukabiliana na upepo mkali wakazi wa kijiji hicho wanajenga nyumba fupi, ambazo zinaezekwa bati kwa kufungwa nondo ili kukabiliana na upepo mkali ambao umesababisha miti kupinda.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Ruvuma

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa