• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

YALIYOJIRI KIKAO CHA DCC WILAYA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: January 24th, 2025

Mkuu wa Wilaya ya Songea amewataka wananchi kumia nishati mbadala kwa ajili ya kupikia na kuondokana na matumizi ya kuni ambapo hupelekea kutokea kwa jangwa na kupoteza uoto wa asili.

Kauli hiyo imeshauriwa  leo kwenye kikao cha kamati ya ushauri ya Wilaya ya Songea DCC ambacho kimefanyika  tarehe 24 januari 2025 katika ukumbi wa HOMSO Songea ambacho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali kwa lengo la kufanya ufuatiliaji na tathimini ya utendaji wa kazi na maagizo yaliyotewa kikao kilichopita kupitia Halmashauri 3 ambazo ni Madaba, Songea na Manispaa ya Songea.

Miongoni mwa mikakati iliyopangwa ili kujenga maendeleo katika sekta mbalimbali wilayani humo ni pamoja na kutoa elimu kwa jamii namna ya matumizi sahihi ya nishati mbadala ambayo ni makaa ya mawe, kuandaa mkakati wa kudhibiti utoro kwa shule za Sekondari na Msingi, udhibiti wa ufugaji holela wa ng'ombe, na mengineyo.

Akizungumza Afisa misitu  Manispaa ya Songea na  Betram Njelekera alisema, katika kuunga mkono jitihadaza Serikali ya awamu ya sita katika kudhibiti uharibifu wa mazingira kupitia Mbungea wa jimbo la Songea mjini amewezesha vikundi 12 ambapo waliwezesha kugawa mitungi ya gesi 84 kwa mama lishe ili jamii  iondokane na  uharibifu wa mazingira.

Kikao hicho hufanyika  mara moja kila mwaka ili kufanya mapitio ya utekelezaji wa  shughuli mbalimbali za Serikali kupita Wilaya ya Songea.

IMEANDALIWA;

AMINA PILLY

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI



Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • RC Ruvuma Awapongeza Wastaafu 86 wa Kada ya Ualimu Mkoani Ruvuma

    May 08, 2025
  • Kamati ya Siasa Wilaya Yaridhishwa na Hatua za Miradi ya Maendeleo

    May 06, 2025
  • Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Apongeza kwa Utekelezaji wa Miradi

    May 05, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Awataka Waajiri kuzingatia Misingi ya Utawala Bora

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Songea Akizindua Stendi ya Bajaji - Songea
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa