• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKAO KAZI CHA WALIMU WA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI

Tarehe ya kuwekwa: June 2nd, 2024

Mpango wa Elimu ni muongozo wa Elimu ambao ulianza mwaka 2023 na kuzinduliwa na Waziri Mkuu tarehe 04.08.2024 Mkoani Tabora  kwa lengo la kuboresha utekelezaji wa Mpango wa elimu.

Katika kutekeleza mpango huo ilifanyika tathimini na kubaini  kuwepo kwa baadhi ya mapungufu mbalimbali ambayo ililazimika kuboresha utendaji wa kazi wa mpango wa elimu (KPI).

Tukio hilo limefanyika tarehe 01 Juni 2024 katika uwanja wa shule ya Wavulana Songea kilichofanyika kwa lengo la kuwakumbusha walimu hao misingi na majukumu ya kazi yao ambacho walihudhuria wakuu wa shule za Msingi na Sekondari, Maafisa wa elimu, pamoja na walimu wote wa Manispaa ya Songea.


Akizungumza mwakilishi wa Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (ELIMU) Vicent Boniface Kayombo amewataka walimu hao kuendelea kusimamia malezi ya watoto bila kukata tama ili watoto waweze kujengeka kimaadili na kuwa ufaulu mzuri.

Alisema ili malezi ya watoto yaweze kukamilika inahitaji ushirikiano wa walimu, mahusiano na mawasiliano bora baina ya Mkuu wa shule na Walimu pamoja  kufundisha na kufaulisha wanafunzi na kuondoa zero 0  kwa wanafunzi.

Amewataka kuzingatia mambo makuu mnne kwa wanafunzi ikiwemo umri wa watot, utayari wa mtoto, Mazingira ya mtoto pamoja uwezo wa mtoto pia ametoa wito kwa walimu wa shule za Sekondari kutumia lugha ya kiingereza kwa kipindi chote cha masomo isipokuwa somo la Kiswahili.

IMEANDALIWA NA;

AMINA  PILLY;

KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa