• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIKUNDI CHA TUMAINI CHA NUFAIKA NA MIKOPO YA 10% MANISPAA YA SONGEA

Tarehe ya kuwekwa: November 17th, 2022

Kikundi cha Tumaini kata ya Lilambo Manispaa ya Songea kimetoa shukrani za dhati kwa Serikali ya awamu ya sita kwa kuwakopesha fedha kiasi cha shilingi milioni 70 ambazo zimetumika katika ujenzi wa jengo la uwekezaji na kununua mashine mil. 36,300,000  itakayotumika kwa ajili ya kukamua alizeti.

 Afisa Maendeleo ya jamii Manispaa ya Songea  Martin Mtani alisema “Manispaa ya Songea imetenga maeneo rasmi ya uwekezaji wa viwanda  kwa vikundi 11  vya ushonaji, kiwanda cha utengenezaji wa batiki, kiwanda cha uchakataji maziwa, kiwanda cha Welding na Aluminium, kiwanda cha uchakataji wa mazao ya nyuki pamoja na kiwanda cha uchakataji wa mafuta ya alizeti.”

Mtani aliongeza kuwa  kupitia Idara ya Maendeleo ya jamii imeendelea kusimamia  utoaji wa mikopo ya asilimia 10%  kwa wanawake 4%, vijana 4% na walemavu  2%  kwa mwaka 2021/2022 Tshs milioni 465 zilitolewa kwa vikundi ambapo katika  mkakati waliojiwekea wanakikundi hao nikuhakikisha wanalima hekari za kutosha za zao la alizeti ili kuwa na malighafi za  kutosha.

Alisema mikopo iliyotolewa ni kwa ajili ya uwekezaji pamoja na shughuli za kiuchumi ambapo kupitia mikopo hiyo kikundi cha Tumaini ambacho hujishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya alizeti wameweza kununua mashine ya kukamua alizeti na karanga kwa gharama ya shilingi  mil. 36,300,000  ambayo tayari  imefungwa na imeshaanza kufanya kazi ya kukamua alizeti. “Alibainisha.”

Kwa upende wake Mhandisi Fredrick Mbawala amesema amepokea mashine ya kikundi cha Tumaini ambapo  tayari ameifunga na  imeshaanza kufanya kazi ambapo alisema mashine hiyo inauwezo wa kupepeta alizeti na kutenganisha mawe au takataka na alizeti, pia inakamua mafuta, inachemsha, na  kuchuja.

Amewataka wananchi na wadau kuleta mazao yao ya alizeti katika kiwanda hicho ili waweze kukamua mafuta, kuununua mafuta, mashudu na huduma nyinginezo.

AMINA  PILLY

KITENGO CHA MWASILIANO SERIKALINI. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa