• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KIWANDA cha kukoboa mpunga Songea kilivyochangia kuongeza ajira

Tarehe ya kuwekwa: June 12th, 2018

KiWANDA hiki cha kukoboa Mpunga cha MWEMBERIDHIKI kilichopo Kata ya Misifuni Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma, kilianza shughuli ya usindikaji wa Mpunga mnamo  Disemba, 2017. Gharama za ujenzi wa kiwanda hiki ni Shilingi milioni 106 na gharama ya ununuzi na ujenzi wa mitambo ni Shilingi milioni  36 hivyo kufanya jumla ya gharama za uanzishaji wa kiwanda hiki kuwa shilingi milioni  142 .

Mmiliki  wa kiwanda hiki ni Rashid Kangoma mkazi wa Wilaya ya Namtumbo,kiwanda hiki kimetoa ajira za kudumu kwa watu wawili  ambao wote ni wanaume na za muda mfupi kwa watu 22 ambao wanawake wanne  na wanaume 18. Mitambo na miundombinu iliyofungwa kwenye kiwanda hiki ina uwezo wa kukoboa Mpunga tani 24 kwa siku, lakini kwa sasa kinakoboa wastani wa tani tatuza Mpunga kwa siku. Kiwanda kinakoboa chini ya uwezo hii ni kutokana na upungufu wa upatikanaji wa malighafi ya mpunga.

Faida zinazopatikana kutokana na kiwanda hiki ni kama ifuatavyo;Kuongeza ajira katika Mkoa wa Ruvuma na watu kupata fursa ya kujiajiri wenyewe kwa kujikita katika kilimo cha mpunga kwani soko ni la uhakika,Upatikanaji wa soko la Mpunga la uhakika hivyo kuongeza kipato cha mkulima mmoja mmoja na hatimaye pato la Taifa,.Kuongeza pato la Taifa kwa kulipa kodi, leseni na ada ya TFDA,Upatikanaji wa Mchele safi na bora ikiwa mitambo ina uwezo wa kutenganisha mawe, chenga na uchafu.  

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari wa Manispaa ya Songea

Juni 12,2016               

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa