• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KURA YAKO, SAUTI YAKO, NENDA UKAPIGE KURA TAREHE 28.10.2020.

Tarehe ya kuwekwa: October 2nd, 2020

Kwa kupitia kifungu cha 4C cha sheria  ya Taifa ya Uchaguzi, Tume imepewa mamlaka ya kutoa elimu ya mpiga kura, kuratibu na kusimamia asasi na watu wanaotoa elimu hiyo.

Kauli hiyo imetamkwa na Jaji (MST) Mary H.C.S Longway wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa uchaguzi Mkoani  Ruvuma wakiwemo na viongozi wa dini, wazee wa kimila, wawakilishi wa watu wenye ulemavu, wawakilishaji wa vijana, wawakilishi wa wanawake, wawakilishi wa asasi za kiraia, watendaji wa tume, na waandishi wa habari uliofanyika katika ukumbi wa Manispaa ya Songea 01.10.2020.

Jaji Longway alisema “lengo la mkutano huo ni kutoa elimu ya mpiga kura kwa jamii  pamoja  na  kuwashirikisha wadau kama watu wenye ulemavu waweze kushiriki katika mchakato wa uchaguzi kama inavyotamkwa kwenye Ibara ta 5 ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (1977) kwamba kila raia wa Tanzania aliyetimiza umri wa miaka 18 anayo haki ya kupiga kura.”

Alibainisha  kuwa pamoja na uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura ambao umewezesha daftari hilo na  kuwa zaidi  ya wapiga kura 9000 kwa Mkoa Ruvuma  na  jumla ya wapiga kura 29,188,347 kwa  nchi nzima.

Aliwatoa hofu wapiga kura wote wenye mahitaji maalmu kwa kuwa maelekezo yametolewa kwa watendaji wa uchaguzi kutoa kipaumbele kwa watu wanaoishi na ulemavu, akina mama wanaonyonyesha, waliokwenda na watoto vituoni, wazee na wagonjwa pamoja na wajawazito.

Aliongeza kuwa  kwa wale wasiojua kusoma na kuandika wanaruhusiwa kwenda na watu wanaowaamini kwa ajili ya kuwasaidia kupiga kura. Alisema kila kituo cha kupigia kura kutakuwa na kifaa cha maandishi ya nukta nundu ‘Tactile ballot folder’.

Alifafanua kuwa wenye ulemavu wa viungo vituturi vitakavyotumika kupigia kura vinaruhusu kuwahudumia kwa kugeuza kituturi kinakuwa kifupi na kumwezesha mwenye ulemavu wa viungo kupiga kura.

.

Mwisho alisema Tume itahakikisha uchaguzi Mkuu wa mwaka 2020 unakuwa huru, wa wazi, wa haki, na wa kuaminika kwa kuweka mazingira sawa ya ushindani kwa wagombea na vyama vyote vya siasa vinashiriki.

 Nao wadau mbalimbali walioshiriki mkutano huo  wakizungumza na kituo hiki ambapo  walisema “tunaipongeza Tume ya Taifa ya uchaguzi kwa kutoa elimu kwa wadau na kushirikisha katika michakato ya kuelimisha jamii juu ya elimu ya mpiga kura.” Kumbuka uchaguzi mkuu wa mwaka  huu wakuchagua Rais, Ubunge, na Madiwani  unatarajia kufanyika 28 oktoba 2020.

IMETAYARISHWA NA; 

AMINA PILLY;

AFISA HABARI MANISPAA YA SONGEA.

02.10.2020.

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa