• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA uchaguzi ngazi ya Kata Manispaa ya Songea wapata mafunzo

Tarehe ya kuwekwa: December 25th, 2019

Mafuzo ya Maafisa uchaguzi ngazi ya kata kwa ajili ya uboreshaji wa Daftari la wapiga kura  katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma yamefanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Akizungumza katika ufunguzi wa mafunzo hayo  Jaji Msitaafu,ambaye ni Kamishina wa Tume ya Taifa ya uchaguzi kutoka makao makuu Der es salam, Marry Longway amesema Maafisa undikishaji wanatakiwa kuwa makini katika kusikiliza kile ambacho wanafundishwa na wasipo elewa wawewepesi kuuliza maswali.

Jaji  Longway, amewaomba kuwa makini sana kwa wale ambao wanaenda kuwaelimisha kwa sababu ndio tume itakayo kuwa inaandikisha na kuburesha upigaji kura pia waelewe wale wenye matatizo tofauti tofauti jinsi ya kuwaelekeza ili wawenze kwenda nao sawa.

“Matumizi ya lugha rafiki ndio jambo la msingi katika kazi yao hata kama ukakutana mtu ambaye hakuelewi jaribu kutafuta njia nzuri ambayo ataweza kukuelewa na msiwe wepesi kukasilika kwa sababu ukikasirika mawasiliano yanaweza kuvunjika na hakuna kitakacho endelea japo changamoto ni nyigi lakini wajitahidi kukabiliana nazo”.Amesema Longway.

Hata hivyo, ametoa rai kusema wajitahidi kuwaonesha tabasamu kwa wale wanao wafundisha ili wameze kuelewana vizuri.

Nae, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea Tina Sekambo,amesema wateule hao  wameaminiwa na serikali katika kufanya kazi hiyo kwahiyo anawaomba kuwa waadirifu katika kutekeleza majukumu yao naye akiwa kama mwenyekiti.

Vile vile amewataka kuwa makini katika usimamizi wa vyombo ambavyo wamekabidhiwa na Serikali kwa sababu serikali imewaamini katika kusimamia uchaguzi huo kuhusu ulinzi na usalama juu yao wasiwe na wasiwasi.

Pia amesema kuwa na ushirikiano mzuri na tume muda wowote watakapo hitajika wawe tayari kuitikia wito.

Kwa upande wake Afisa uchaguzi wa  Halmashauri ya Manispaa ya Songea Christopher Ngonyani ameyataja malengo ya kuboresha Daftari la wapiga kura ni matu. Kwanza kuandikisha wapiga kura wapya ambao wametimiza umri wa miaka kumi na nane,pili kuboresha taarifa za wapiga kura walio hama sehemu moja kwenda nyingine ili kupata taarifa zao za mwanzo na kuandika upya ili kuondo changamoto za wapigakura kutokujua wapi pakwenda na tatu kurekebishwa na kuondoa wapiga kura walio kosa sifa na kuwaondoa kabisa watu hao ni wenye ugonjwa wa akili ulio thitishwa na daktari

Hata hivyo amesema,baada ya uboreshaji taarifa zote zita bandikwa kwenye mbao za matangazo,na zoezi hilo litaanza tarehe Desembe 30/12/2019 hadi Januari 5,2020.

Imeandikwa na Farida Musa wa Kitengo cha TEHAMA Manispaa ya Songea 

 

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa