• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAGIZO mazito ya RC Mndeme kwa madiwani wa manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: July 21st, 2018

MKUU wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme amewaagiza madiwani wa Manispaa ya Songea kuhakikisha fedha zote zinazotolewa na serikali katika utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo zinatumika ipasavyo na kuchukua hatua haraka kwa watendaji pale ambapo itabainika kuwa fedha hizo zimetumika kinyume.

Mndeme ametoa maagizo hayo wakati anazungumza kwenye kikao maalum cha Baraza hilo cha kujibu hoja za mkaguzi wa Mahesabu kilichofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.Amesema mwananchi yeyote ana haki ya kufaidika na fedha za serikali  na kumchukulia hatua mtendaji yeyote ambaye atatumia fedha za serikali kinyume cha sheria za nchi.

Amesema madiwani wanastahili kuhoji endapo matumizi ya mfuko wa jimbo yametumika tofauti na ilivyopangwa na kwamba madiwani wanatekeleza ilani ya CCM hivyo wanasthili kujua iwapo fedha za serikali zimetumika vizuri au vibaya na kuchukua hatua haraka.

Hata hivyo Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma amewapongeza madiwani na watalaam kwa kuiwezesha manispaa hiyo kupata Hati ya kuridhisha kwa miaka miwili mfululizo na kusisitiza kuwa kupata Hati inayoridhisha kusiwafanye kubweteka na kujisahau kwa sababu ukaguzi wa hesabu za serikali unafanyika kila mwaka hivyo inatakiwa kumaliza mapungufu ya hoja za muda mrefu ambazo bado hazijafungwa ambapo Manispaa ina hoja ambazo bado hazijafungwa kwa kukosa majibu yanayojitosheleza.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Julai 21,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa