• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MADARASA YA UVIKO -19 YAKAMILIKA NA KUKABIDHIWA KWA MKUU WA WILAYA YA SONGEA.

Tarehe ya kuwekwa: December 11th, 2021

Na,

AMINA PILLY,

AFISA HABARI MANISPAA.

11.12.2021

Mkuu wa Wilaya ya Songea Pololet Kamando Mgema amepokea vyumba vya madarasa 111 leo tarehe 11 Disemba 2021 kutoka katika Halmashauri 3 ambazo ni Halmashauri ya Manispaa ya Songea vyumba vya madarasa 29, Halmashauri ya Wilaya ya Songea vyumba vya madarasa 65 pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Madaba vyumba vya madarasa 17.

Ujenzi wa madarasa hayo ambayo yamekamilika na kukabidhiwa kwa Mkuu wa Wilaya ya Songea, ni utekelezaji wa mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 kwa lengo la kutatua changamoto mbalimbali ya miundombinu ya elimu na afya.

Mgema amewapongeza wakurugenzi na wataalamu wa Halmashauri zote kwa usimamizi bora wa miradi hiyo ambapo hadi sasa ujenzi wa vyumba vyote vya madarasa umekamilika katika viwango vyenye ubora unaotakiwa.

Aliongeza kuwa hadi kufikia tarehe 13 Disemba 2021 shule ambazo bado hawajakamilisha utengenezaji wa viti na meza wanatakiwa kuhakikisha wamekamilisha utengenezaji wa samani hizo ili ifikapo tarehe 15 Disemba 2021 miradi hiyo itakabidhiwa kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma.’Mgema Alisisitiza’

Naye Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Mh.Michael Mbano ametoa wito kwa wataalamu wa Halmashauri zote kuendelea kutumia mfumo wa ujenzi uliotumika kujenga vyumba vya madarasa hayo katika ujenzi wa madarasa mengine ambayo hayapo kwenye mradi huu.

Halmashauri ya Manispaa ya Songea ilipokeaa fedha kiasi cha shilingi milioni 660 ili kutekeleza mradi wa mpango wa maendeleo kwa ustawi wa Taifa na mapambano dhidi ya UVIKO-19 kwa ujenzi wa vyumba vya madarasa 29.

Mwisho. 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa