• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MADIWANI wawili wa CHADEMA Songea wajiuzuru

Tarehe ya kuwekwa: September 21st, 2018

MADIWANI wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wamejiuzuru na wanatarajia kujiunga na chama tawala cha CCM.Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Tina Sekambo amethibitisha kupokea barua za kujiuzuru za madiwani hao wawili wa CHADEMA ambao amewataja kuwa ni Mheshimiwa Msosa Rashid Msosa aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ruvuma na Mheshimiwa Mchungaji Martin Mrata aliyekuwa Diwani wa Kata ya Matarawe.

Alipoulizwa sababu za kujiuzuru aliyekuwa Diwani wa Kata ya Ruvuma,mheshimiwa Msosa amesema amesukumwa na kasi ya maendeleo ambayo inafanywa na Rais wa Awamu ya tano Dkt.John Magufuli ambapo amesema serikali imechangia miradi katika kata yake ukiwemo mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya Kata ya Ruvuma ambacho serikali imetoa shilingi milioni 400 katika hatua za awali za mradi huo.

"Kwa hiari yangu bila kusukumwa na mtu yeyote,nimeamua kujiuzuru CHADEMA na sasa kuhamia CCM,hivyo kwa sasa Kata ya Ruvuma haina Diwani,Rais Magufuli anafanyakazi kazi nzuri kwa ajili ya watanzania wote hivyo nimemua kumuunga mkono kwa kuhamia CCM'',amesisitiza Msosa.

Hata hivyo madiwani wote wawii leo wamehudhuria mkutano wa Baraza maalum la madiwani uliofanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea na kuongozwa na Mwenyekiti ambaye pia ni Mstahiki Meya wa Manispaa ya Songea Alhaj Abdul Hassan Mshaweji.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Septemba 21,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa