• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAAFISA elimu Kata mkoani Ruvuma wapewa Tablets za kukusanyia taarifa za shule

Tarehe ya kuwekwa: June 6th, 2018

MAFUNZO ya MFumo wa utoaji taarifa katika shule msingi(SIS) yaliyowashirikisha washiriki  zaidi ya  300 kutoka Halmashauri zote nane za mkoa wa Ruvuma yamefanyika kwa siku mbili kwenye ukumbi wa shule ya sekondari ya wasichana Songea(Songea Girls) mjini Songea.Mafunzo hayo ambayo yameandaliwa na Shirika la TUSOME PAMOJA kwa ufadhili wa USAID ya Marekani kwa kushirikiana na TAMISEMI yamewashirikisha maafisa elimu kata  zote,maafisa elimu,maafisa TEHAMA, maafisa takwimu,maafisa uchumi na wathibiti ubora  toka Halmashauri zote za mkoa wa Ruvuma.

Mafunzo hayo yamelenga kuwajenga uwezo wa kutumia mfumo wa ukusanyaji wa taarifa za shule za msingi kwa kutumia vishikwambi(Tablets). Mfumo wa SIS ni nyenzo ya usimamizi wa shule na kiini cha taarifa za shule na kwamba SIS inatoa taarifa kwa muhtasari na kwa kina kuhusu utendaji wa shule.

Takwimu ambazo zinapatikana kwenye mfumo wa  SIS  zinaweza kutumika kusaidia katika kufanya maamuzi na kutengeneza sera,kutoa taarifa kuhusiana na hali ya mfumo wa elimu nchini,kubainisha mahitaji ya kielimu na kusaidia Mamlaka kufanya maamuzi ya namna bora ya kugawanya rasilimali.

Mafunzo ya mfumo wa SIS ngazi ya Halmashauri zote katika Mkoa wa Ruvuma yanatarajiwa kushirikisha walimu wakuu wote na  kufanyika kwa siku mbili ambapo katika Halmashauri ya Manispaa ya Songea mafunzo hayo yatahusisha walimu wakuu 75.

Imeandaliwa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Juni 6,2018

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa