• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MAKADIRIO ya bajeti ya zaidi ya bilioni 50 yapitishwa na Manispaa ya Songea

Tarehe ya kuwekwa: January 25th, 2020

MANISPAA YA SONGEA YA YAPITISHA BAJETI YA ZAIDI YA BILIONI 50

MADIWANI wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea wamepitisha makadirio ya bajeti ya zaidi ya shilingi bilioni 50 katika mwaka wa fedha wa 2020/2021.

Makadirio ya bajeti hiyo yamefanyika katika Kikao kilichoongozwa na Mwenyekiti Alhaj Abdul Hassan Mshaweji na kufanyika kwenye ukumbi wa Manispaa ya Songea.

Mwenyekiti wa Kikao hicho ambaye ni Mstahiki Meya Mshaweji amesema makadirio ya awali kwa mwaka  wa fedha za 2020/2021 yalikuwa ni shilingi milioni 50,595,932,264.50 ambayo yalitarajiwa kukusanywa kutoka vyanzo mbalimbali vtya mapato.

Hata hivyo amesema makisio hayo yalikuwa ni sawa na ongezeko la shilingi milioni 14,809,745,579.5 sawa na asilimia 41.3 ya lengo la makusanyo kwa mwaka 2019/2020.

“Baada ya mapendekezo ya kuongeza bajeti ya mapato kutoka katika Kamati mbalimbali za kudumu,makadirio ya bajeti yameongezeka kutoka milioni 50,595.932.264.50 hadi kufikia milioni  50,879,671,367.00 ikiwa ni ongezeko la shilingi 283,739,100.00 sawa na asilimia 0.56 ya makadirio ya awali ya mwaka 2020/2021’’,alisema.

Hata hivyo Mshaweji amesema kipaumbele katika bajeti hiyo mwaka huu kimewekwa kwa asilimia 40 katika masuala ya maendeleo ikiwemo sekta ya elimu kujenga miundombinu ya shule na madawati na kukamilisha zahanati kwa ajili ya huduma za afya katika mitaa ya Manispaa ya Songea.

Kwa mujibu wa Mstahiki Meya kipaumbele katika bajeti ijayo pia kimewekwa katika mikopo kwa wajasiriamali wadogo ambao ni wanawake,vijana na wenye ulemavu.

Imeandikwa na Albano Midelo

Afisa Habari Mkoa wa Ruvuma

Januari 24,2020

 

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa