• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ina upungufu wa vyumba vya madarasa 500

Tarehe ya kuwekwa: January 30th, 2018

MKUU wa wilaya ya Songea Pololet Mgema amesema Halmashauri ya Manispaa ya Songea ina upungufu wa vyumba vya madarasa 500 katika shule za msingi na vyumba 72 katika shule za sekondari.

Kutoka na hali hiyo amewaasa madiwani wa Manispaa ya Songea kusimamia mapato na kubuni vyanzo vipya vya mapato ambavyo vitasaidia kupata fedha za ujenzi wa vyumba vya madarasa pamoja na huduma nyingine .

Mpango wa elimu bure kuanzia shule za msingi na sekondari kidato cha nne kumechangia uwepo wa idadi kubwa ya wanafunzi ambayo imesababisha changamoto katika vyumba vya madarasa hali inayosabisha baadhi ya wanafunzi kusomea nje.

Katika kukabiliana na hali hiyo watanzania wamekuwa na maoni tofauti ambapo baadhi wameshauri kuundiwa mpango mkakati ambao utawezesha kumaliza tatizo hilo la upungufu wa vyumba vya madarasa kwa sababu kila mkoa tumeshuhudia wingi wa wanafunzi katika shule mbalimbali za msingi na sekondari.

Baadhi ya wananchi wameshauri kuunda Tume itakuwa njia mojawapo nzuri ya kuweza kuziwezesha shule ambazo hazina vyumba vya Madarasa na itawafanya wanafunzi wajisomee kwa amani na kuongeza bidii zaidi ya katika tendo la kujifunza.

Hata hivyo wameshauri tatizo la upungufu wa vyumba vya madarasa serkali kuangalia kwa jicho la tatu hasa katika shule zilizopo vijijini kwa kuwa shule hizo zina changamoto kubwa hivyo Serikali iweke Mipango dhabiti ya mikakati kama ilivyofanya kwenye madawati ili kumaliza tatizo hili.

Ili kumtokomeza adui ujinga mazingira safi ya kusomea ni jambo muhimu ni matumaini yangu kuwa serikali inayoongoza na Rais Dk.John Magufuli kama ilivyofanikiwa kumaliza tatizo la madawati,pia itafanikiwa kumaliza tatizo la upungufu wa vyumba vya madarasa nchini.

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa