• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Songea Municipal Council
Songea Municipal Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Manispaa ya Songea

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
      • Planning,Statistics and Monitoring
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Elimu ya Msingi
      • Mazingira na Usafi
      • Maji
      • Afya
      • Elimu ya Sekondari
      • Mifugo na Uvuvi
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ujenzi
      • Fedha na Biashara
      • Arthi na Mipangomiji
    • Vitengo
      • Uchaguzi
      • Legal Services
      • Mawasiliano, Habari na Teknolojia
      • Ukaguzi wa ndani
      • Ugavi na Manunuzi
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma zetu
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha na Uongozi
      • Mipango Miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi isiyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

MANISPAA ya Songea ilivyojipanga katika maonesho na sherehe za Nanenane 2018

Tarehe ya kuwekwa: July 10th, 2018

KILA mwaka kuanzia Agosti Mosi hadi nane  huadhimishwa wiki ya maonesho na sherehe za Nanenane (Sikukuu ya wakulima) ambazo hufanyika ngazi ya Mkoa na Kanda.Halmashauri ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma kila mwaka ushiriki maonesho ya Nanenane ngazi ya Mkoa ambayo hufanyika katika viwanja vya Msamala mjini Songea.

Manispaa ya Songea pia kila mwaka ushiriki katika maonesho ya Kanda ambayo hufanyika kila mwaka katika viwanja vya John Mwakangale jijini Mbeya.Afisa Kilimo wa Halmashauri ya Manispaa ya Songea, Zawadi Nguaro analitaja lengo la maonesho hayo ya kila mwaka kuwa ni kuwakutanisha wakulima,wajasiriamali,wafugaji,wavuvi,Taasisi binafsi,watu binafsi,kampuni na mashirika.

“Wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo,mifugo na uvuvi watashiriki katika maonesho hayo ili kupata elimu mbalimbali ya uzalishaji bora,ubunifu,upatikanaji wa masoko kwa bidhaa zinazozalishwa’’amesema Nguaro.Ameongeza kuwa wadau hao wakiwa katika wiki ya sherehe hizo,watajifunza matumizi ya teknolojia za kisasa katika uzalishaji ili kuongeza mnyororo wa thamani kwa mazao ya kilimo,mifugo na uvuvi.

“Ukiwa mdau mojawapo wa sekta ya kilimo,mifugo na uvuvi unaombwa kushiriki katika maonesho na sherehe za Nanenane ngazi ya Mkoa na Kanda kwa kuonesha bidhaa mbalimbali na teknolojia za kisasa ili kuongeza uzalishaji na tija katika kilimo,ufugaji,uvuvi na maendeleo ya viwanda’’,anasisitiza Afisa Kilimo wa Manispaa.

KAULIMBIU ya Maonesho na sherehe za Nanenane 2018 ni “WEKEZA KATIKA KILIMO,UFUGAJI NA UVUVI KWA MAENDELEO YA VIWANDA”

Imetolewa na Albano Midelo

Afisa Habari Manispaa ya Songea

Julai 10,2018

 

Matangazo

  • TANGAZO LA LESENI ZA BIASHARA January 22, 2025
  • TANGAZO la usafi wa mazingira Jumamosi ya mwisho wa mwezi Septemba 2024 February 27, 2025
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • TAKUKURU Mkoa wa Ruvuma Yafanikiwa Kurejesha Mil. 9.2, na Kudhibiti Mianya ya Rushwa.

    May 30, 2025
  • TAKUKURU Ruvuma Yawezesha kupatikana fedha za makusanyo Songea Dc

    May 30, 2025
  • ALAT Ruvuma na Baraza la Madiwani la Chalinze Watembelea Manispaa ya Iringa Kujifunza Ukusanyaji wa Mapato.

    May 29, 2025
  • ISMAIL ALI MKIMBIZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA NA UTEKELEZAJI WA MIRADI

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ALAT RUVUMA ZIARANI IRINGA TC
Video Zaidi

Viungio vya Haraka

  • Ruvuma Region Website
  • Songea diistrict websites
  • Madaba District Council Website
  • Tunduru District Website
  • Namtumbo District Website
  • Nyasa District Website
  • Mbinga Town Council Website
  • Mbinga District Council Website
  • Songea Municipal face book

Tovuti Mashuhuri

  • Wizara ya Fedha
  • TAMISEMI
  • Wakala wa Serikali Mtandao
  • Utumishi
  • National Bureau of Statistics
  • Baraza la Mitihani Tanzania

Idadi ya Wasomaji Duniani

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana nasi

    SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

    Anuani ya Posta: P O BOX 14, SONGEA

    Simu ya Mezani: 025 2602970

    Simu ya Kiganjani:

    Barua Pepe: info@songeamc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Manispaa ya Songea. Haki zote zimehifadhiwa